Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Yes, alikuwa na miaka 25 kipindi hiyo kampita 22 sasa ma sister du hawa zeekiDuuuh! nimepiga mahesabu hapa 76 hadi 2023 ni miaka 47,aisee,halafu dogo janja sijui ni wa mwaka gani?
Duuuh! hakika nimeishi kwenye kizazi kilichoni-pruvia kua kuona nyéti za mtu mkubwa,hupofuki.
Tamaa za muda mchache zilimdatisha.Sio kweli, kama ndivyo ni nini kilimfanya akamwacha dogo na stress za kufa mtu!?
Maake kukosa Mauki Janjaro alikuwa anarest in peace.
Au labda alipata mb**lo kubwa zaidi ya janjaro?. BTW alijuaje dogo ana hogo kubwa?
Ni starehe yake hata hivyo
Usimsikilize huyo.Duuuh! nimepiga mahesabu hapa 76 hadi 2023 ni miaka 47,aisee,halafu dogo janja sijui ni wa mwaka gani?
Duuuh! hakika nimeishi kwenye kizazi kilichoni-pruvia kua kuona nyéti za mtu mkubwa,hupofuki.
Siku hizi kuna wakubwa basi! Ni wale watu wazima ovyoDuuuh! nimepiga mahesabu hapa 76 hadi 2023 ni miaka 47,aisee,halafu dogo janja sijui ni wa mwaka gani?
Duuuh! hakika nimeishi kwenye kizazi kilichoni-pruvia kua kuona nyéti za mtu mkubwa,hupofuki.
Katika masuala ya details unaamua umsikilize maua? We nawe unakuja kuwa kilaza. Kwahiyo kwa akili yako ukakubali kwamba Uwoya ana miaka 47?Duuuh! nimepiga mahesabu hapa 76 hadi 2023 ni miaka 47,aisee,halafu dogo janja sijui ni wa mwaka gani?
Duuuh! hakika nimeishi kwenye kizazi kilichoni-pruvia kua kuona nyéti za mtu mkubwa,hupofuki.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Katika masuala ya details unaamua umsikilize maua? We nawe unakuja kuwa kilaza. Kwahiyo kwa akili yako ukakubali kwamba Uwoya ana miaka 47?
Probably yes,inamaana Uyowa na Bongo movies wengine,umri wao unagandaga...?Katika masuala ya details unaamua umsikilize maua? We nawe unakuja kuwa kilaza. Kwahiyo kwa akili yako ukakubali kwamba Uwoya ana miaka 47?
Umesema "probably". Na aliyedai ana miaka 47 hajaweka supporting evidence at least ya classmates na agemates wa Uwoya kuanzia zamani. Kwenye contest yao walikuwa wanaelekeana umri, how comes wengine ni under 40, yeye ni 47?Probably yes,inamaana Uyowa na Bongo movies wengine,umri wao unagandaga...?
NdiyoAlafu kwenye hiyo video akawa vixen
Daamn! Jamaa naona aliamua kum-keep busy bibie asiingie mtaani tena.Changamoto mno, wachache mno wanatulia.
Mfano ndoa ya Marlaw na Besta, sasa wana watoto sita na Besta na wapo kimyaaaa licha ya umapepe wake ule Besta.
AlifanyajeIrene alikiona cha mtema kuni alipoenda Rwanda kwenye msiba wa marehemu Ndikumana.
Uwoya kaolewa na dogo janja si juzi juzi tu hapa.Kumbuka Irene Uwoya na Ndikumana walifunga ndoa ya kanisani kabisa, na wakristo huwa hawaachani kirahisi rahisi japo Irene alimpiga chini Ndikumana .
Stress zilimjaa Ndikumana alipoanza kupata habari nani amemnyang'anya mke wake kipenzi ,stress zilimzidi mpaka kufariki baada ya mke wake kuchukuliwa jumla (kuolewa) na dogo janja.
Aliumia zaidi kuona aliyemnyang'anya mke ni mtoto mdogo mno.
Doh!watoto sita. Wamefyatua aisee.Changamoto mno, wachache mno wanatulia.
Mfano ndoa ya Marlaw na Besta, sasa wana watoto sita na Besta na wapo kimyaaaa licha ya umapepe wake ule Besta.
Antonia nikusalaam.Ni laana hio!
Si alisema eti alivurugwa na 🍆 ya dogo kwamba dogo ana mbongesa wa tango!!
Uhuni haujawahi muacha mtu salama ni suala la muda tu!
Nimechekaje!!!Muwe mnaangalia na wanawake wa kuoa, unaenda kujipachika kwenye beseni la kumwagia shahawa kama hilo halafu utegemee nini zaidi ya kufa kwa stress!!