Wabongo watengeneza mtandao mpya wa kijamii unaoitwa "Be From BetaTQ" wenye kufanana na Instagram

Una usalama kiasi gani kwa mlaji!
Wamiliki ni watu wa mlengo gani?
Tuanzie hapo
 
Mi sitaki huo ujinga sio unaenda kujiunga huko mara unakuta mwashambwa ni content controller mara cjui ni platinum member,,, yaani mi niende huko nikawe mnyonge no thank you!!!
 
Tatizo linaanza ukishafanikiwa wao ndio wataanza kutuvimbia sisi na kujiona wao ndio wajanja, wabongo tuna mambo ya ovyo sana
Nimeipata comment niliyokuwa naitafuta πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wabongo tuna roho za korosho sana ndio hasili yetu hii wote tuwe chini no kuvimbiana
 
Tatizo linaanza ukishafanikiwa wao ndio wataanza kutuvimbia sisi na kujiona wao ndio wajanja, wabongo tuna mambo ya ovyo sana
Attitude ya mtu mweusi ndio kama hii ya kwako which is roho mbaya
 
Mtandao uitwe BEE, logo waweke ya nyuki [emoji219]
 
Achana na hivyo vitu vya kibongo vitakuja kukuponza. Je, ina usalama kwa watumiaji kama ilivyo instagram? Take care!
 
Shida ni kwenye usalama wa data zetu tu maana hii bongo kwa sasa watu wanawafanyia kazi ma godfather wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…