Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Ndugu zangu watanzania, Salaam
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!
Kwanini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!?
Au kuna mwenye ziada ya haya?
Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!
Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!
Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!
Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.
Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?
Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,
Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!
Kwanini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!?
Au kuna mwenye ziada ya haya?