Wabunge 19 ni sawa na watumishi hewa kwa kuwa hawatambuliki kokote

Wabunge 19 ni sawa na watumishi hewa kwa kuwa hawatambuliki kokote

Wabunge hao 19 wakiendelea kuwepo bungeni; wewe wanakunyonya kitu gani kulinganisha na kazi wanayoifanya? Kwani wakiondolewa wakawekwa wengine hawatalipwa?[emoji2960]

Halafu kuhusu kila kitu kutegemea Mungu atafanya ukweli ni kuwa kila jambo liko controlled na Mungu iwe ktk nchi iliyoendelea au lah

Usipende kutaja jina la Mungu bure
Sio lazima utetee ujinga.
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??
Jiwe ndio alianzisha huu uchafu
 
Kiuharisia Speaker hawezi kuwafukuza Bungeni hao covid19 kisa tu kasikia fununu kwamba wameshindwa mahakamani. Bali CDM wanalo jukumu la kuchukua mahakamani copy of judgment kisha wakaipeleka kwa speaker officially ndiyo speaker anaweza kufanya uamuzi stahiki. Elewa hilo mkuu acha lawama kwa jambo ambalo halihitaji lawama.
Hukumu ilishatoka tangu juzi na Bunge liliwakilishwa Mahakamani na "Solicitor General" Wakili Mkuu wa Serikali. Ilitakiwa Wakili Mkuu aitaarifu Ofisi ya Speaker juu ya uamuzi wa Mahakama. Wabunge wote 19 walikoma kuwa wabunge tangu juzi Hukumu ilipotolewa. Shida ipo kwa upande wa Speaker wetu!!
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??

Huwa nashangaa sana, watu wanapoomgelea katiba mpya!!!

Ilihali iliyopo inavunjwa na kusigidwa.

Nawashangaga na wakina mama na vikundi vyetu tunahangaika tuansae katiba, wakati watu wenyewe hawafanyi tunayokubaliana, nawazaga hivi katiba ndiyo itamlima mtu? Au watu tunatakiwa kukontrol yale tuliyokubaliana
 
Tulia lazima ateme bungo ili atulie lasivyo litamtesa sn kwenye nafasi yake aliyonayo
 
Badala upinzani uungane na kushirikiana kutoa hii SISIEM madarakani , huu ni wakati wa kujenga chama na kuunda mikakati ya kuchukua Dola.

ila nasikitika kuona ndo wako buzy kubomoana.


HII NCHII HAKUNA UPINZANI WENYE TIJA NA AKILI WALIOPO NI WAJINGA TU
ACT wanatumika na CCM
 
Ndugu zangu watanzania, Salaam

Mimi nawauliza tuu wavuja jasho wa nchi hii tunaonyonywa sana na kitu inaitwa CCM!

Ikiwa kina Mdee na wafuasi wake hawatambuliki popote pale kisheria na hata kikanuni zozote zile za wao kuwepo Bungeni mpaka sasa...!

Kwa maana nyingine, kodi yangu Mimi paulsylvester inalipwa kwa mtu ambaye hayupo kwenye sisitimu yoyote ile, ni sawa na ule wimbo uliovuma kipindi cha msiompenda kwa idadi yenu chache na kupendwa na idadi ya mamilioni ya Watanzania kwa maama ya JPM na wimbo wa wafanya kazi hewa!

Mpaka sasa, kina mdee ni wafanya kazi hewa, kwa kuwa hawatambuliwi kokote kule.

Aidha wanasheria mtupe mwongozo kwamba, kwa nini hao wabunge 19 hewa wako bumgeni?

Vinginevyo, Tunataka katiba kwa nguvu na manjonjo meengi, wakati hatuwezi kuitetea na kuilinda iliyopo na imewatolea nje hao wabunge hewa,

Tukiipata tunayoitaka, ni Nani ataitetea yanapotokea mambo kama haya!!

Kwa nini tusiite nchi yetu ni ya Kilokole inayotarajia kila kitu Mungu atafanya!??

Au kuna mwenye ziada ya haya??

Naomba nianze kukujibu ww kwamba,Ili swali lako umeuliza kisheria au na ww ni mmoja kati ya wale wanasubilia watimuliwe kwa hamu ili jina lako lipelekwe kama wa viti maalum?
 
Wabongo bhana, siku zote mnapeleka lawama kusiko, Spika anafwata anavyotaka Raisi na Mkuu wa CCM hata yeye mwenyewe Tulia kabla hajawa Spika Ndugai alivyotimuliwa alisema Serikali iko JUU ya Bunge hivyo hakuna cha mambo ya Muhimili.

Hivyo Serikali ndiyo inayotaka hao Wabunge waendelee na pelekeni malalamiko yenu moja kwa moja kwa Serikali na siyo Spika.

Serikali ndio huamua nani afungwe yupi aachiwe, yupi ana kesi ya kujibu yupi hana na siyo Jaji wa Mahakama yoyote ile.

Hata Mbowe aliachiwa na Raisi na siyo Mahakama au jaji, akina Ruge na Muhindi wake waliachiwa na Raisi na siyo Mahakama, …
Hii ndiyo comment ya maana. Wanaohangaika na Tulia hawaijui nchi hii. Wasting their time. Hata hawajui kwamba Tulia kapewa uspika na Rais kwa uzoefu wake wa kuzoa majitaka kwa mikono bila aibu wala kinyaa.
 
Back
Top Bottom