Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

Mbowe awe mhuni kuchezea kodi za wananchi kipuuzi ivyo uku nchi ikiwa na serikali na vyombo vyakisheria.aise mbona ulichokiandika hakiendani.
 
covid 19 wanahitajika kwa sababu mbili..ule msaada wa european union WA EUROS ZA KUTOSHA BUNGENI unaohitaji idadi fulani ya wapinzani kwenye kamati zabunge wakati huo kuna watu waliiiba kura kupitiliza na kukosesha idadi

Pili inadhaniwa kwamba hii situation italeta mgawanyiko chadema kumbe IMEWAGEUZA WATU WENYE"HESHIMA ZAO" KUWA VITUKO
 
Na pia ili Mbowe chama chake ki savive
 
Hilo NENO upo sahihi mkuu Covid 19 wanatumika

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tukutane 2025 ndio mahakama itatoa uamzi 😆😆😆😆
 
Hawakwenda mahakamani
 
Kwenye kifo cha Magu ulikuwa unademka kwamba ni karma ila hapa hutaki kuamini kma ni karma?
 
Hakika sasa naanza kuamini Uwepo wa Wabunge 19 waliofukuzwa na Chama chao na kukosa SIFA ya kuwa Wabunge kwa Mujibu wa KATIBA KATIBA ambayo VIONGOZI WALIAPA KUILINDA kuna MASLAHI MAKUBWA kwa CCM
Haiwezekani WABUNGE wasio na SIFA waendelee Kulipwa MISHAHARA na POSHO ambazo ni KODI za Wananchi.
MAHAKAMA haijatoa ZUIO inakuwaje SPIKA anasubiri Mahakama imalize Kusikiliza Shauri lao.
NCHI hii VIONGOZI walioapa KUILINDA KATIBA ndio hao WANAOICHEZEA KATIBA watakavyo.


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Chadema tulizeni mshono, kazi yenu ya kuwafukuza uanachama mmeshaimaliza
 
Huwa najiuliza maswali mengi sipati majibu.. hivi CCM inafaidika vp na hao wabunge 19? Kwanini mnahubiri maridhiano wakati nyie hampo tayari? Mnaturudisha nyuma Sana. Achanane na siasa za kukomoana tusonge mbele.
Kwani wewe wakifukuzwa au kuendelea kuwa wabunge unafaidika na nini?

Ni wabunge wa Kambi ya upinzani Bungeni.
 
Hili nililijua toka mwanzo, ndio maana nikawa nashangaa Mbowe anafuata nini ikulu kila mara tena mwenyewe?!
Asiende ikulu kwani dhalimu yupo?

Si alishaondoka? Na mungu wenu aliwasaidia kuwaondolewa utawala wa kidhalimu bila kumwaga damu?
 
Asiende ikulu kwani dhalimu yupo?

Si alishaondoka? Na mungu wenu aliwasaidia kuwaondolewa utawala wa kidhalimu bila kumwaga damu?

Tulia sukuma gang, ww tafuta tiles za kaburi lako hapo chattle ukifa uzikwe kaburi la kisasa.
 
Wameshafukuzwa, kesi inaweza ikachukua kama miaka 2 hivi halafu watashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…