Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

Hapa kilicho Baki ni kampeni kama iliyomfurusha shotii kwenye kiti hata akatoka nduki
Hilo NENO upo sahihi mkuu Covid 19 wanatumika

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Nawafananisha na like kundi la leprofesor Mzee ya bugurunri na kundi lake la wanacuf mamluki🚶
 
Na mahakama itakapoamua kuimaliza hii kesi 2025, sijui itakuwaje mkuu Quinine?
Itakuwa kama zile kesi za chafuzi 2019/2020 za wanachadema zisizo Isha na zinazowatesa wanachama wengi wa chadema magerezani Kwa kesi bambikizi za chafuzi zilizo ratibiwa na wanachukua chako mapema 🤔
 
Utawabakizaje bungeni bila amri ya mahakama kwa spika!
 
Mfumo uliamua waende bungeni, mfumo unawaweka bungeni na utaendelea kuwaweka bungeni
Wanakuwa ni wabunge wasiokuwa na chama.
Wanalipwa fedha za kodi zetu bila sababu za maana. Kwa nini wasikae nyumbani huku wakisubiri maamuzi ya Mahakama?.

Maamuzi ya hao Covid kufukuzwa Chadema yalikuwa sahihi kwakuwa wameshaonekana wanafanyakazi kwa maslahi ya CCM. Ndio maana leo wabunge wa CCM wameshangilia sana
 
Itakuwa kama zile kesi za chafuzi 2019/2020 za wanachadema zisizo Isha na zinazowatesa wanachama wengi wa chadema magerezani Kwa kesi bambikizi za chafuzi zilizo ratibiwa na wanachukua chako mapema 🤔
Katika hali hiyo basi, ni wajibu wa CHADEMA na waTanzania wengine wote wasiofurahishwa na hali hiyo kuendelea kuyashikia bango na kuyasemea kila mahala. Huu ni unajisi wa HAKI zetu sote.
 
Kwanza huyu Tulia anasubiri simu kutoka Ikulu, hana maajabu yoyote yale, yupo yupo tu kusubiria maelekezo ya Samia na system juu ya hawa covid 19.
Si unajuwa tena anayezindua na kuvunja Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

Anayeipa fedha Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais kwa saini yake ya kupitisha bajeti ya nchi kuwa sheria ili ndipo mafweza yatumike!

Anayemteua Karani Mkuu wa Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

Anayemteua Chief Whip wa Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

Anayemteua Kiongozi wa shughuli za serikali kwy Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

Baghosha!
 
Ndo imetoka tena iyo mpaka 2025 watakuwa wabunge wa Mahakama, wenzao kina Hamad Rashid na wengine
Tanzania hakuna haki, huyu spika ata haendani na speed ya mama samia, huyu bado ni mazalia ya ndugai
 
CHADEMA hamuuwezi muziki wa CCM.... Yaani mnapigwa kisheria na kikatiba bila makelele. Mkiwa jeuri mnakutana na mkono wa dola iliyo chini ya CCM.... Kikao cha Mbowe na Mwenyekiti wa CCM siku moja kabla ya baraza kuu ndo kilikuwa hatima ya hili jambo. Baraza ilikuwa ni kutimiza ratiba tu.
 
Alipowaachia uamsho hakuingilia mahakama?
"Alipowaachia uamsho hakuingilia Mahakama?"

Hahahahaaaaaaaa.... sina mbavu... mkuu.

Tunapaswa kujuwa haya:-

1. Si unajuwa tena anayezindua na kuvunja Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

2. Anayeipa fedha Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais kwa saini yake ya kupitisha bajeti ya nchi kuwa sheria ili ndipo mafweza yatumike!

3. Anayemteua Karani Mkuu wa Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

4. Anayemteua Chief Whip wa Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

5. Anayemteua Kiongozi wa shughuli za serikali kwy Mhimili wa Bunge ni Mhe. Rais!

6. Bosi wa Mhe. Spika kwy Cabinet ni Mhe. Rais. Mhe. Spika ni Ex-officio kwy Cabinet.

7. Bila Mhe. Rais kuupa Mhimili wa Bunge AG Mhe. Spika hawezi kutimiza wajibu wake.

Baghosha!
 
Eleza katiba imevunjwaje? Ibara au kifungu gani cha katiba?........Don't just speak out of nothing...

Au na wewe uko kama mtu mmoja anaitwa mzee Pascal Mayalla ameanzisha uzi akilalamika na kupiga kelele hewani kusema CHADEMA wamevunja katiba yao, wamevunja katiba yao...

Cha kushangaza hata hakwoti ibara au kifungu chochote cha katiba hiyo anachodai kimevunjwa/kiukwa. And I see you just crying and lamenting the same way with no evidence...

But, one BIG FACT remains, that... WAMESHAFUTWA UANACHAMA...!!

Na kwa maoni yangu, CHADEMA wako ktk mstari sahihi na wamechukua hatua sahihi kwa mujibu wa taratibu zao dhidi ya waliokuwa wanachama wao...

Ni haki yao kwenda mahakamani. Lakini wote tunajua hiyo ni "delaying tactic" tu. They know, the action is irreversible...

Mahakamani hawajaenda kupigania "uanachama" wao kwa CHADEMA. Mahakamani wamekwenda kuhakikisha "ubunge" wao na "maslahi ya ubunge" wao hayapotei. That's all. Nothing more. Nothingless....
 
Hivi huyo Spika wa Bunge, Tulia Ackson, ambaye ana Shahada ya PhD ya sheria, haoni namna anavyodhalilisha taaluma yake ya sheria, kwa ajili tu ya kuinufaisha CCM?🥺
Hujui CCM ndio waliomuweka hapo?
 
Katika kufanya uamuzi wa jambo lolote, kuna vitu viwili vya msingi ambavyo ni;
1. Nia (njema au ovu)
2. Kitendo chenyewe.

Maamuzi ya spika yanatakiwa yatazamwe kwa kuzingatia vitu hivyo hapo juu, pamoja na katiba ya nchi, sheria na kanuni zinazohusika.
Hata hivyo, akili ya kawaida (common sense) ni muhimu katika kuangalia muda na mtiririko wa matukio hadi uamuzi kufanyika.
 

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imesema Wabunge 19 waliovuliwa uanachama na CHADEMA, waendelee kufanya shughuli zao za kibunge hadi Mahakama itakaposikiliza maombi yao ya zuio la muda kuhusu ubunge wao.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji John Mgeta baada ya kusikiliza kesi hiyo kwa ajili ya kutoa uamuzi kama Wabunge hao waendelee kuwa Bungeni ama laah, ambapo June 13, 2022 ndio atasikiliza zuio hilo.
#MillardAyoMAHAKAMANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…