Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Mambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na uzoefu wa kisiasa wa Waheshimiwa hao.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.