Acha upumbavu, ruzuku anazokula Mbowe na genge lake zinatoka kwa Aida Kennan?
Nyumbu hovyo kabisa.
Acha mihemko, Wacha nikupe elimu kuhusu ruzuku,
Ruzuku inatokana na uwiano wa kura za uchaguzi mkuu, asilimia ambazo chama husika kimepata ndiyo kinaamua kiasi Cha ruzuku ya chama iwe kiasi gani.
Ruzuku haitokani na wabunge idadi yao, isipokuwa idadi ya wabunge wa kuteuliwa wanawake viti maalumu, inatokana inaamuliwa na uwiaono wa kura za Uchaguzi Mkuu ambao chama Cha siasa kimepata.
CCM Ina wabunge wengi wa viti maalumu kwa sababu walipata kura nyingi uchaguzi mkuu ulopita.
Chama kiwe na mbunge kisiwe na mbunge kitapata ruzuku ikiwa kilipata kura za kutosha kufikia ASILIMIA 5% asilimia katika uchaguzi uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani, inatolewab kila mwezi kupitia msajiri wa vyama vya Siasa, ni pesa Toka serikalini kiwezesha shughuli za vyama vya Siasa.
Jifunze kwanza kuelewa mambo kabla ya kuandika VITU AMBAVYO HIVIJUI.
Mwisho mwishoni ugomvi na mume wako, na mimba yako changa usilete hapa jamvini sawa wewe MWANAMKE??🤔🤔
Pia punguza umalaya hapa mtaani, unatembea na watoto wadogo, mpaka bodaboda,siku sio nyingi watu wamepanga kumjulisha MUME WAKO 🤣🤣