Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
kuna wenye mawazo kinzani na wasaliti , usaliti sio ukinzaniPangeni kuimarisha chama sio kudeal na watu walio na mawazo kinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wenye mawazo kinzani na wasaliti , usaliti sio ukinzaniPangeni kuimarisha chama sio kudeal na watu walio na mawazo kinzani.
Waafrika tuna ujinga mwingi sana na roho za visasi. Kwa mfano, ukiangalia ule uchaguzi wa awali, Donald Trump alipingwa hadi na magwiji wa chama cha Republican, ila baada ya kushinda wala hakuwahi sio tukutowagusa, bali hata kuwataja.kuna wenye mawazo kinzani na wasaliti , usaliti sio ukinzani
Hao watu waadilifu tunao?CCM ukiwawekea watu waadilifu ambao hawawezi kuwachafua hawana jipya wataanguka vibaya!!
Hakuna atakayeshangaa, ndo anayewalinda kule bungeni, mbowe ana ndimi mbiliMambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na uzoefu wa kisiasa wa Waheshimiwa hao.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.
Mchana anawakataa, usiku anakutana nao kula bata1. Inadhirisha wana baraka za Mbowe kuwa wabunge
2. Watamchafua zaidi
3. Na mimi nasema Mbowe ametuchezea sana
Haahaa, tunapambana kuitoa kikoba kiwe chama Cha siasaMjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
BadoMambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na uzoefu wa kisiasa wa Waheshimiwa hao.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.