Toeni kila aina ya Mlio ila CHADEMA ni Mbowe.Fedha za Abdul bado zinazungushwa na Wenje. Kwann kila mtu mwenye unasaba na ccm anamuunga mkono Mbowe?
Bila shaka Mbowe ni duka kubwa lililotumiwa na ccm kununulia wapinzani.
Na hii itathibitisha pasipo shaka kuwa covid 19 walipelekwa na Mbowe bungeni.
Ni kweli. No Mbowe no chademaToeni kila aina ya Mlio ila CHADEMA ni Mbowe.
Kwa faida ya CCM ni bora Mbowe kuliko Lissu.
1. Inadhirisha wana baraka za Mbowe kuwa wabungeMambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na uzoefu wa kisiasa wa Waheshimiwa hao.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.
Tafuta graphics designer mzuri wa kufanya editing hiyo picha. Vinginevyo umejidhalilisha.View attachment 3181171
Hawa mbona tulishawasahau na still CHADEMA inazidi kuwa imara
Tulikuwa tunasubili kwa hamu ni nani ambae alilazimisha hawa watu waende kufuja pesa za walipa kodi sasa mmeanza kujitokezaMambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na uzoefu wa kisiasa wa Waheshimiwa hao.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.
Acha upumbavu, ruzuku anazokula Mbowe na genge lake zinatoka kwa Aida Kennan?Wewe ndo Mpumbavu unajifanya hujui kuwa CHADEMA Ina Mbunge nmmoja tu, hao wakija wanapoteza muda, hao ni wasaliti, walifukuzwa, na mahamakamani wakashindwa ,wapo bungeni ni wabunge wa serikali.
Huna jipya kaa kimyaa
Tutarudi hapa Mangi tulia usife moyo🤣Wewe mfuasi wa Lissu usiye na sifa za kumpigia kura andika maumivu tu. CHADEMA inamhitaji Mbowe.
Pangeni kuimarisha chama sio kudeal na watu walio na mawazo kinzani.Team TL tukishinda ndio utakuwa mwisho wao kisiasa , hakika hakuna rangi wataacha kuiona .
Mfumo hauwezi kukubali Lissu akapita.Wachache sana wameshtukia hili. Mbowe ni CCM's Favourite person kuliko Lissu.
Kwan wale COVID 19 ni wanachama wa Chadema?? Si mahakama ilibarik kufukuzwa kwao??Mambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na uzoefu wa kisiasa wa Waheshimiwa hao.
Namsihi Mh. Mbowe kukubali kuchukua fomu ili kuendelea kukiunganisha chama.
Acha mihemko, Wacha nikupe elimu kuhusu ruzuku,Acha upumbavu, ruzuku anazokula Mbowe na genge lake zinatoka kwa Aida Kennan?
Nyumbu hovyo kabisa.