Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa

Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna taarifa kwamba wabunge 19 wa viti maalumu wa Chadema wameshauriwa na mamlaka husika wajiuzulu ili kulinda hadhi zao badala ya kusubiri chama chao kithibitishe kuwafukuza.

Inasemekana wabunge 6 walikata rufaa na wengine kadhaa akiwemo Mrs Kafulila waliomba msamaha baada ya kujikuta tu wako bungeni.

Chadema wanategemea kufanya kikao cha kamati kuu na Baraza kuu hivi karibuni ambapo pia majina ya wabunge wapya 19 wa viti maalumu yatatangazwa.

Kwaresma njema!
 
Kuna taarifa kwamba wabunge 19 wa viti maalumu wa Chadema wameshauriwa na mamlaka husika wajiuzulu ili kulinda hadhi zao badala ya kusubiri chama chao kithibitishe kuwafukuza.

Inasemekana wabunge 6 walikata rufaa na wengine kadhaa akiwemo Mrs Kafulila waliomba msamaha baada ya kujikuta tu wako bungeni.

Chadema wanategemea kufanya kikao cha kamati kuu na Baraza kuu hivi karibuni ambapo pia majina ya wabunge wapya 19 wa viti maalumu yatatangazwa.

Kwaresma njema!
Hivi kwa nini unapenda kufuatilia habari zetu?
 
Kifupi hakuna covid 19 atakayerejeshwa tena bungeni. Huenda baada ya mwezi mmoja kutoka sasa watakuwa mtaani wakidanga. Msimamo wa CHADEMA mpaka sasa upo pale pale kuwa....
1. Hawayatambui matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa 2020.
2. Hawajawahi kufanya mchakato wowote wa kuteua wabunge wa viti maalum.
3. Waliwavua uanachama wale covid 19 kwa kufanya uhuni wa kisiasa na kijinai usioweza kuvumilika hata kwa 1%.

Sasa ili Covid 19 wabakie bungeni inabidi kwanza haya yafanyike
-Watolewe kwanza bungeni.
-CHADEMA warejee upya hayo maamuzi na yawe favour kwa Covid 19.
 
Virusi....walidhani wataenjoy milele, hata watakaosamehewa wawekwe katika uangalizi maana msaliti ni msaliti tu na wameprove ni watu wasio na msimamo waliotayari kurubuniwa kwa vyeo na mali
Nashauri kwa watakaosamehewa condition iwe hakuna tena ubunge na watakuwa kwenye uangalizi kwa miaka mitatu, ambapo hawataruhusiwa kugombea nafasi yoyote.
 
Wanasema ni heri upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga
Kabudi.
Bashiru.
Polepole.
Ndugai.
Sabaya.
Mtoto wa Dada.
Covid19 .
Hawa watu wanapitia wakati mgumu sana tuwaombee.
Unadhani wahenga wakuongopa kusema malipo ni hapa hapa duniani ahera ni mahesabu tuu?
 
Back
Top Bottom