Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kama ni mmoja wao lazima uwe na matamanio hayoBakia na msimamo wako hivyo hivyo utashangaa wanafika 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mmoja wao lazima uwe na matamanio hayoBakia na msimamo wako hivyo hivyo utashangaa wanafika 2025
Hahahaaaa.........!Hizo taarifa ni za uongo, trust me
Hao inatakiwa wapelekwe mahakamani kwa la kugushi.Virusi....walidhani wataenjoy milele, hata watakaosamehewa wawekwe katika uangalizi maana msaliti ni msaliti tu na wameprove ni watu wasio na msimamo waliotayari kurubuniwa kwa vyeo na mali
Mimi nwana CHADEMA nawashauri uongozii wasithubutu kuwaonea huruma hawa 19. Ni kwa sababu ya gharama kubwa ya heshima ya chama.Kifupi hakuna covid 19 atakayerejeshwa tena bungeni. Huenda baada ya mwezi mmoja kutoka sasa watakuwa mtaani wakidanga. Msimamo wa CHADEMA mpaka sasa upo pale pale kuwa....
1. Hawayatambui matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa 2020.
2. Hawajawahi kufanya mchakato wowote wa kuteua wabunge wa viti maalum.
3. Waliwavua uanachama wale covid 19 kwa kufanya uhuni wa kisiasa na kijinai usioweza kuvumilika hata kwa 1%.
Sasa ili Covid 19 wabakie bungeni inabidi kwanza haya yafanyike
-Watolewe kwanza bungeni.
-CHADEMA warejee upya hayo maamuzi na yawe favour kwa Covid 19.
Coz wanajua waliongea nn kunduchi beach mpaka wakaamua kuteua Kwa kanda coz viti ni vichache,
Kuna mambo mengi yamejificha hapo
Mzee Mdee ataunga mkono juhudi za Zitto KabweIla kwa bi Ester namwonea wivu sana Bwana Halima....
Sawa Halima MdeeHakuna mtu karubuniwa pale trust me, tuache kuongea kutoka hewani, wala hakuna mtu kapewa ela,
Ukifatilia hiyo story ya viti maalum hutomweshimu tena mbowe wala lisu
Kwa sababu wako lumumba!Nashangaa hizi story za hao wabunge mara zote huanzishwa na makada wa lumumba, wanapokezana tu...
Zitto Kabwe hana nguvu bara!Mzee Mdee ataunga mkono juhudi za Zitto Kabwe
Kwa hiyo mkikaa huko ofisini kwenu mnajitungia uongo wenu mnadhani mnatudanganya kama watoto wadogo sio?Kwa sababu wako lumumba!
Sawa Halima Mdee
Wale waliokata rufaa ndio Wasaliti.Chadema wakiwarudisha wasaliti watakuw watu wa ajabu sana, nchi nzima itawadharau
Acha kujitoa ufahamu na kutuona sisi na majuha wenzako.How hujuma ? Tume wakileta barua ya majina ya viti maalum ambayo chadema walipeleka utabakia na msimamo huo.?
Mambo yote ya Ufipa yanaratibiwa Lumumba!Kwa hiyo mkikaa huko ofisini kwenu mnajitungia uongo wenu mnadhani mnatudanganya kama watoto wadogo sio?
Mjipange upya.
Huijui nguvu ya Zitto, yeye si ndiye negotiator wa kutaka Mbowe aombe msamaha na mke wake ni Mkuu wa Wilaya.Zitto Kabwe hana nguvu bara!
Swala la covid 19 ni zaidi ya Chadema na CCM!Shida ya vijana wa chadema mko kiuharakati zaidi ndio maana mambo mengi mnapigwa na viongozi wenu
Ongeza:Wanasema ni heri upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga
Kabudi.
Bashiru.
Polepole.
Ndugai.
Sabaya.
Mtoto wa Dada.
Covid19 .
Hawa watu wanapitia wakati mgumu sana tuwaombee.