hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Mbona spika wa bunge alishasema kwamba wanasubiri mchakato wa ndani ndio atoe maamuzi?. Kama chadema wangekuwa Wana mkono kwenye Hilo mbona Ndugai angesema au hata Mdee mwenyewe angesema.
Chadema Wana mkono na mdee anamkono mambo yakiwa wazi ni aibu Kwa wale wazee pale ufipa