Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa

Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa

Chadema kwisha habari yao sasaivi wanaendeshwa na ccm kama pia, bado watanzania wana kiu ya kupata chama cha upinzani kilicho imara ili ndoto za kumuondoa adui ccm ambaye ameota mizizi tokea enzi za uhuru zitime.

Kuitoa ccm madarakani kwa katiba hii hakuhitaji chama imara cha upinzani, bali kunahitaji kundi la watu kuingia msituni. Fahamu ccm haiko madarakani kwa box la kura, bali nguvu ya vyombo vya dola.
 
Hawa ni Makerubi wa Mfalme Zumaridi
Nimechekaaaa
Kwa hivi mfalme zumaridi ni yule ambaye hajulikani alipo
Muda unaenda mbio sana
Kuna watu wataishi maisha magumu sana (wanaotegemea siasa kuishi wanakosa kujua siasa ni za muda)
 
Majina yalitoka tume kwenda Kwa spika

So kama kuna kuchimbika means kutaanzia tume

Na serikali haiwez kuingia kwenye aibu hiyo just because kufurahisha chadema

Tena chadema ambayo haina nguvu yoyote now
Niliona kama una hoja inayotakiwa kuthibitishwa. Lakini unaposema CHADEMA haina nguvu yoyote sasa naona una hasira tu na hicho chama. Labda unakipima kwa idadi ya wabunge, madiwani, n.k. Nguvu ya CHADEMA iko kwa wananchi.

Wote tunaona jinsi serikali inavyohangaika “kukubalika” na CHADEMA nyakati hizi. Mkutano wa Rais na Lissu Brussels na harakati za kufuta kesi ya Mbowe kisha Rais ghafla kumuomba wakutane Ikulu kwa mazungumzo mara baada ya kutoka gerezani si mambo ya kawaida.

Kama huwezi kuona jinsi CHADEMA inavyoishughulisha dola muda wote basi hustahili kusema chochote kuhusu chama hicho.
 
Kuitoa ccm madarakani kwa katiba hii hakuhitaji chama imara cha upinzani, bali kunahitaji kundi la watu kuingia msituni. Fahamu ccm haiko madarakani kwa box la kura, bali nguvu ya vyombo vya dola.
Msitu gani?
 
Ta

Naomba katika watakaoteuliwa asikose Hilda Newton na yule dada wa chato aliyepambana kipindi Cha Magufuri mpaka akakamatwa.
CCM wa hawafai,Yule dada wa Chato,wakachoma hadi nyumba ili afie humu...Bahati nzuri akawa ametonywa mapema,akawa hayumo...
 
Kwani kabla ya hivyo vyeo walikuwa wanaishi vipi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app

Uliwahi kuona kaunda suti za Bashiru na Kabudi kabla ya kupewa vyeo na dhalimu zilivyokuwa zimefubaa? Unadhani kabudi alisema ametolewa jalalani kwa bahati mbaya? Uliona Polepole ngozi ilivyokuwa imembana na yale machunusi yasiyo na mpangilio? Ilikuwa hata ni shida kukadiria umri wake. Alipokuwa akisema yeye ni kijana mdogo mpaka ilikuwa inapoteza maana halisi ya ujana.
 
Uliwahi kuona kaunda suti za Bashiru na Kabudi kabla ya kupewa vyeo na dhalimu zilivyokuwa zimefubaa? Unadhani kabudi alisema ametolewa jalalani kwa bahati mbaya? Uliona Polepole ngozi ilivyokuwa imembana na yale machunusi yasiyo na mpangilio? Ilikuwa hata ni shida kukadiria umri wake. Alipokuwa akisema yeye ni kijana mdogo mpaka ilikuwa inapoteza maana halisi ya ujana.
Hebu weka suti na picha zao za kabla na baada tuone!

[emoji23][emoji23][emoji23]Wale wameshayapatia maisha, hutawaona mkila wote vumbi hata siku moja!

Na hata watoto na wajukuu zao wameshaingizwa kwenye chain wakimaliza chuo hawatapanga foleni kugombea ajira na watoto wako hata siku moja.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom