Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa



Kwa bahati mbaya mimi na familia yangu sio watumwa wa ajira za serikali. Na watoto wangu wawili wanasoma shule za ukweli. Wakimaliza hawahitaji ajira kwa yoyote zaidi ya kusimamia mali zangu. Hao wanaotegemea fadhila za serikali na mifumo ikibadilika tu wanakuwa wapole.
 

Na wao wakirudi watakuwa wajinga Sana

Mwaka mmoja now wanapokea pesa zao zote bila makato yoyote ya kwenda kwenye chama

Wamepata milion 90, then wamekopa mapesa kibao,

Watakuwa wajinga kutaka kurudi tena kwenye chama
 
Hata Wakijiuzulu Haisaidii ni WASALITI TU
 
Kila jambo na wakati wake...

Muda haujawai feli
 
Nashauri kwa watakaosamehewa condition iwe hakuna tena ubunge na watakuwa kwenye uangalizi kwa miaka mitatu, ambapo hawataruhusiwa kugombea nafasi yoyote.
Condition za hisia au kanuni za katiba ya chama chao kwa wahaini inakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…