Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa

Tetesi: Wabunge 19 wa CHADEMA washauriwa kujiuzulu kupisha mchakato halali ndani ya chama wa kupata wabunge halali, walioomba msamaha Watafikiriwa

Hebu weka suti na picha zao za kabla na baada tuone!

[emoji23][emoji23][emoji23]Wale wameshayapatia maisha, hutawaona mkila wote vumbi hata siku moja!

Na hata watoto na wajukuu zao wameshaingizwa kwenye chain wakimaliza chuo hawatapanga foleni kugombea ajira na watoto wako hata siku moja.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app


Kwa bahati mbaya mimi na familia yangu sio watumwa wa ajira za serikali. Na watoto wangu wawili wanasoma shule za ukweli. Wakimaliza hawahitaji ajira kwa yoyote zaidi ya kusimamia mali zangu. Hao wanaotegemea fadhila za serikali na mifumo ikibadilika tu wanakuwa wapole.
 
Exactly, huu ndiyo utaratibu....

Mimi nashauri hata kama CHADEMA watapitia upya maamuzi ya kuwafukuza, tukumbuke kuna ishu ya jinai ya kufoji nyaraka....

Wakitaka kurudi basi, watoe ushirikiano kumweka/kuwaweka wazi waliotumiwa na CCM ya Polepole na Bashiru + NEC ili kughushi nyaraka za chama zilizowapa uhalali wa kuwa bungeni....

Na wao wakirudi watakuwa wajinga Sana

Mwaka mmoja now wanapokea pesa zao zote bila makato yoyote ya kwenda kwenye chama

Wamepata milion 90, then wamekopa mapesa kibao,

Watakuwa wajinga kutaka kurudi tena kwenye chama
 
Kuna taarifa kwamba wabunge 19 wa viti maalumu wa Chadema wameshauriwa na mamlaka husika wajiuzulu ili kulinda hadhi zao badala ya kusubiri chama chao kithibitishe kuwafukuza.

Inasemekana wabunge 6 walikata rufaa na wengine kadhaa akiwemo Mrs Kafulila waliomba msamaha baada ya kujikuta tu wako bungeni.

Chadema wanategemea kufanya kikao cha kamati kuu na Baraza kuu hivi karibuni ambapo pia majina ya wabunge wapya 19 wa viti maalumu yatatangazwa.

Kwaresma njema!
Hata Wakijiuzulu Haisaidii ni WASALITI TU
 
Kila jambo na wakati wake...

Muda haujawai feli
 
Nashauri kwa watakaosamehewa condition iwe hakuna tena ubunge na watakuwa kwenye uangalizi kwa miaka mitatu, ambapo hawataruhusiwa kugombea nafasi yoyote.
Condition za hisia au kanuni za katiba ya chama chao kwa wahaini inakuwaje
 
Back
Top Bottom