Hakuna mtu aliomba msamaha hata mmoja na last week walienda gerezani kumsalimia Mwenyekiti, and he was very happy kuwaona hahaha siasa tamu
Kwani Joyce siyo mwanachadema?Subiri kwanza Joyce ateuliwe ndo tuone kama nafasi zitabaki.
Majina mapya kwani katiba mpya tayari? Kwani tume huru tayari? Hahaha mlisema hamtaki viti maalum Kwa sababu ya hayo Mambo
Imekuwaje tena
Mlete na mamako nae anayo nafasi ya kuteuliwa hakika.Subiri kwanza Joyce ateuliwe ndo tuone kama nafasi zitabaki.
Mlikuwa na nguvu Kwa jk now hakuna kitu chochote
Mbona wao CHADEMA walisema ule uchaguzi wa 2020 ulikuwa ni UCHAFUZI na hawatapeleka majina, bungeni, sasa kauli ile wameibadilisha? Na kwa sababu gani wameibadisha? Ukata?Kuna taarifa kwamba wabunge 19 wa viti maalumu wa Chadema wameshauriwa na mamlaka husika wajiuzulu ili kulinda hadhi zao badala ya kusubiri chama chao kithibitishe kuwafukuza.
Inasemekana wabunge 6 walikata rufaa na wengine kadhaa akiwemo Mrs Kafulila waliomba msamaha baada ya kujikuta tu wako bungeni.
Chadema wanategemea kufanya kikao cha kamati kuu na Baraza kuu hivi karibuni ambapo pia majina ya wabunge wapya 19 wa viti maalumu yatatangazwa.
Kwaresma njema!
Acha zako. Mbowe alikamatwa kwenye kongamano linalohusu Nini?. Halafu, Rais kamwita Mwenyekiti wa chama ikulu unajua waliongea Nini.
Kuhusu Tume huru tayari Kuna kamati imeubdwa kuanzisha mchakato.
Wale Mpaka 2025Anasubiri barua!
Wakati hayo yanafanyika hawa wote si walikuwepo?
Mama Samia alikuwa makamu wa rais, so na yy anajua kila kitu na story yote kuliko hata Sisi
Chadema ni maloser hamna nguvu now ya kudemand anything
Nyie si mlikuwa hamtaki mambo ya kila Mbunge afanye siasa kwenye Jimbo lake? What happen now
Nyie si mlikuwa mnadai katiba mpya mpaka mnafunga barabara?
Ile nguvu imekwisha
MwanjelwaUsichanganye mambo kifala wewe! Aliyeiba mataulo alikuwa mbunge viti maalum ccm tena aliwagi kupewa hadi unaibu waziri wakati fulani. Na ana katitle ka Dr sijui nani vile. Ngoja nikumbuke
Ww unajua alimwambia nn
Matokeo tutayao a ndio kujua waliongea Nini. Hat karume na Maalim Seif waliongea, mwisho kura ya maoni ikapigwa na katiba kufanyiwa marekebisho. Usiwe na haraka
Kama huijui nguvu ya CHADEMA pole sana. Nguvu ya CHADEMA ndio nguvu iliyomfanya Lissu akapona na Mbowe kutoka gerezani. Usiwe na Roho ngumu CHADEMA wanadeserve hongera kwa hapa walipofika. Wamepitia kila dhihaka na maonevu, lakini kwa nguvu wamepita kote.
Kusema hawana nguvu unakosea Sana. Nguvu wanayo, ndio maana wababe wote wameachia njia wenyewe, kuanzia Magufuri mpaka Ndugai waliotumia nafasi zao kudidimiza upinzani.
But katiba si inawaruhusu?
Mitatu michache,,isipungue miaka 5Nashauri kwa watakaosamehewa condition iwe hakuna tena ubunge na watakuwa kwenye uangalizi kwa miaka mitatu, ambapo hawataruhusiwa kugombea nafasi yoyote.
Shekhe mkuu ndio kafanya mbowe atoke wala sio chadema, ni huruma Tu Kwa utawala
That's why mbowe alisema anamshukuru mama Kwa kuwa concern
Nyie hamna nguvu now, endeleeni kugombana na wanawake 19 basi
Ongeza Look VWanasema ni heri upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga
Kabudi.
Bashiru.
Polepole.
Ndugai.
Sabaya.
Mtoto wa Dada.
Covid19 .
Hawa watu wanapitia wakati mgumu sana tuwaombee.