econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hakuna mtu aliomba msamaha hata mmoja na last week walienda gerezani kumsalimia Mwenyekiti, and he was very happy kuwaona hahaha siasa tamu
Hata wawe na Furaha kiasi gani, haonsio wanachama wa chadema. Walienda Kama Raia wa kawaida tu hawajazuiwa. Hiyo sio hoja ya kuwasamehe.
Halafu wakati wanavuliwa uanachama mbona Mwenyekiti hakuwasaiidia?. tofautisha office bearers na institution. Office bearer Hana nguvu mbele ya institution. Hivyo wao wabaki na Mwenyekiti, sisi tunasubiri maamuzi ya baraza kuu la CHADEMA. Spika alishatoa mwongozo.