Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Mnazugwa tu, barua ya chama nani alifoji,kufoji nikosa la jinai kwanini chama hakikwenda mahakamani baadayakujua nyarakazake zimefojiwa.
Kunamtu aliunga juhufi kimyakimya akawezesha mchakato nyie tulieni maisha yaendelee.
Kiko wapi sasa?
 
Sijawahi kusikia ushauri wa wanachama wa CCM wakifutwa wakimbilie mahakamani kupinga uamuzi wa vikao vyao.
 
Kisha uchaguzi wa 2020 utakuwa ulikuwa wa haki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…