Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Zama zimebadilika mkuu! Ni kweli tulikataa matokeo ya uchafuzi ule, lakini kazi ya Mungu ya tarehe 17 March 2021, haina makosa! Hatuwezi kukataa matokeo ya kazi ya Mungu, ni lazima kushirikiana na walio baki kuijenga nchi!
Ndivyo mnavyotakiwa kushirikiana na CCM miaka yote(kama ilivyokuwa huko nyuma), na sio kuleta misimamo ambayo hamuwezi kuiishi.
 
Sidhani kama CHADEMA wanao ubavu wa kuwatema hawa Covid-19. Sanasana watapewa onyo na kupewa Baraka za kuendelea na Ubunge wao. Mwisho wa siku Chama kuendelea kupokea ruzuku
Wewe huijui CHADEMA, wakina Mdee walishafukuzwa na hawatarejeshwa milele ndani ya CHADEMA. Malaya wakubwa wa kisiasa wale.
 
U

Unakumbuka jana nilikwambia nini kijana...
COVID 19 hawatafukuzwa ila kitakachofanyika watatakiwa wajiuzulru ubunge kwa lazima kisha wabaki na uanachama wao kama watapenda ili waangaliwe kweli wanipenda CHADEMA au ni njaa tu. kisha wanateuliwa wabunge WAPYAAAAAAAAAAAAAA!!! nnje ya hawa covid19 na hapa ndio utakuwa mwisho wa MAIGIZO YA CCMnduGAY na mbuzi zake
Acha kelele wewe.
Nenda sasa kawatetee Covid 19 kama unawapenda sana. Wamechinjiliwa baharini.
 
Nami pia ananiuma Sana. She was a brave fighter, mtu wa kujiamini, mtunwa kujenga hoja and all those good qualities.
Kwa nn alikubali kudanganyika. Upepo wa Magufuri uliwazoa wakijua watakaa benji wakakubali mtego uliolenga kuweka maslahi kwa serikali ya ccm.
Mpaka sasa endapo wabunge wa upinzani bungeni wangekuwa bila hao 19. Hali ingekuwa tete kwa ccm kujisafisha kwa wahisani kuwa hawaui upinzani. Sasa wakajibeba hivyo ealivyokusanywa kwenda kusaidia ushindi wa Magu na mbinu zake kisa wanapata ubunge walionyimwa majimboni. Kha..... Hata kama Magu kafa muafaka anaoutaka mama hapa kuwatetea wanawake wenzie, chadema msijikaange, watoeni yeye aende akawape vyeo.
 
Ndivyo mnavyotakiwa kushirikiana na CCM miaka yote(kama ilivyokuwa huko nyuma), na sio kuleta misimamo ambayo hamuwezi kuiishi.
Hata huu ushirika wa sasa, siyo ndoa ya kudumu! Tutashirikiana kama wana nia ya dhati ya kuelekea mabadiliko na maendwleo ya nchi yetu! Wakigeuka na sisi tunageuka! Mama akilegeza kidogo tunatumia advatage! Au mkuu unategemea tuwe ‘Janas Savimbi’ tuende msituni?! Siasa ni sayansi, Mac!
 
Hawajayakubali matokeo, bali dhalimu aliyegiza uchaguzi ule unajisiwe yuko motoni. Hivyo maamuzi yanaweza kufanyika sasa kuendana na mabadiliko ya utawala. Nitawashangaa cdm wakikubaliana na matokeo yale ya uchaguzi uliokuwa wa kihayawani vile. Wanaweza kufanya maamuzi fulani fulani kuendana na mazingira ya sasa baada ya yule muhuni kufariki, lakini sio kukubali kuwa matokeo yale kuwa yalikuwa sawa.
Hayo mawazoyako chadema wenzako wanakuona wewe ndio hayawani, yani unaanzaje kumwambia mbowe mudawake umeisha kijingajinga.
 
Usichanganye mkuu
Chama kikisusia hakina MAMLAKA ya kumzuia mbunge wake aliyechaguliwa na wananchi asiende kuwawakilisha bunge, kikimshauri asiende na akaamua kwenda inakua sio busara kumfukuza uanachama kwa kigezo hicho

Lakini hawa wahuni akina mzee mdee walifoji barua ya chama na wakajiteua kinyemela huku wengine wakiachiwa gerezani usiku saa2 na kesho yake wanaapishwa nje ya viunga vya bunge na muhuni Ndugai

Tatizo kuu hapa ni kufoji barua ya chama na kujipendekeza kihuni kwa msaada wa mtesi wao ccm
Inamaana hamlioni hili mkuu?
Mnazugwa tu, barua ya chama nani alifoji,kufoji nikosa la jinai kwanini chama hakikwenda mahakamani baadayakujua nyarakazake zimefojiwa.
Kunamtu aliunga juhufi kimyakimya akawezesha mchakato nyie tulieni maisha yaendelee.
 
Ukitaka kuua nyani usimuangalie usoni... CHADEMA fukuzilia mbali kabisa hao ma-Covidol.
 
Hakuna ngedere wa kike atakayesamehewa na CHADEMA. Malaya wa kisiasa wajiandae kutimkia CCM, ACT au Umoja party. Mzee wa ubwabwa amesema hana muda wa kusajiri malaya wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom