Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Sijui kwanini hujaelewa nilichoandika, sijataka hata unilalamikie.

Hapo nilikuonesha tu, kama Dr. Slaa alikuwa anajitambua kweli angekataa kuburuzwa na mawazo ya Mbowe kama ulivyoandika kule juu, usilete hisia zako kwenye kuamua uhalisia kwa kisingizio cha "umeusoma mchezo kitambo".

Umeandika hisia zako halafu unasema wewe sio sehemu ya propaganda! kama kweli wewe sio sehemu ya propaganda nipe mifano mitatu yenye evidence kuonesha vile Mbowe anavyoiburuza Chadema kwa maamuzi yake binafsi.
Majibu ya kile husichokifahamu ni kwamba hukijui.
 
Kwahiyo hawa wa sasa mnaowachagua wanaingia bungeni kushirikiana na wabunge waliopita kwenye uchaguzi upi wa halali?

Maana kuanzia spika na wengine wote ni matokeo ya ule uchaguzi, nakumbuka mliwahi kusema bunge na kila kitu ni batili kwahiyo nilidhani hamtakuwa tayari kuchangamana nao.

KAZI IENDELEE😀

Mazingira yamebadilika japo bado uchaguzi ule ulikuwa wa kihayawani. Ukitaka kujua mazingira yamebadilika tazama zile kejeli za dhalimu dhidi ya wazungu, na jinsi mama yuko karibu na Wazungu kwasasa, mpaka Piraah katengeneza movie la Roho Tua na bi tozo. Kwasasa dhalimu yuko motoni, na spika aliyekuwepo anagombea nafasi za maswali ya nyongeza na kina msukuma. Kipi huelewi hapo?
 
Whatever the case, Mbowe ndio muamuzi! Tutulie na kusubiri nini ataamua. Akitaka kuwasamehe mtabadili gia angani penda msipende. Hizi siasa zetu usiwe na maneno mengi sana! Subiri matokeo
Endelea kumfuatilia na yule padri wenu balozi mstaafu muendelee kula mihogo
 
Yule mmoja mnamuogopa sana inashangaza mno uchaguzi mliouona batili na onyo akapewa kapuuza(since day one alikubali ushindi wake kuwa halali)

Pili mnaowaita covid mnawaogopa sana. Chadema kinajulikana kutimua wanachama wake fasta ila akina halima wanawahenyesha,kama kweli walifoji saini mbona mnapiga danadana kuwafukuza,zitto na wenzie wala chama hakikuchukua muda mrefu kuwatimua. Acheni kiki wakuu iwe covid 19 au 20 wote kwa apomoja waliutambua kuwa uchaguzi halali wakati chama kiliukataa
Since day one waliitwa Covid 19, Kosa lao ni kufoji barua ya uteuzi kwa msaada wa ccm.... sio covid 20. Hata siku moja hujasikia uongozi ukiongea lolote kuhusu mbunge mchaguliwa sababu wanajua sheria

Kisheria chama hakiwezi KUMZUIA mbunge aliyechanguliwa na wananchi asiende kuwawakilisha, ni kuwakosesha haki yao ya kikatiba kuwakilishwa na mbunge walio mchagua

Narudia tena KOSA hapa ni KUFOJI BARUA YA KUJITEUA na sio vinginevyo
Naona unalazimisha kosa kuhalalisha uhuni wa mzee mdee
 
Yule dem mwenye kimuhemuhe wa cdm haonekani leo!!! naona atakuwa mkutanoni kusikilizia dili wabunge 19 wachomoke na yy apate chansi.....
yule dem mwenye pic ya kihindi
 
Lakini bado Ccm ni ile ile.
Mazingira yamebadilika japo bado uchaguzi ule ulikuwa wa kihayawani. Ukitaka kujua mazingira yamebadilika tazama zile kejeli za dhalimu dhidi ya wazungu, na jinsi mama yuko karibu na Wazungu kwasasa, mpaka Piraah katengeneza movie la Roho Tua na bi tozo. Kwasasa dhalimu yuko motoni, na spika aliyekuwepo anagombea nafasi za maswali ya nyongeza na kina msukuma. Kipi huelewi hapo?
 
Nimecheka kwa nguvu eti Mbowe ndio muamuzi, ni kweli Mbowe ni muamuzi lakini anaamua nini hapo ndio shughuli ilipo. Huyo Mbowe alimtaka Nyalandu agombee urais akatolewa nje akakaa kwa kutulia. Juzi alipotoka magereza Zito akawa anampaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa atahudhuria kikao cha TCD, na kweli Mbowe alitaka kuwaburuza wenzake, akagomewa akaishia kuwa mpole. Huyo Mbowe kwa mwenendo wake wa sasa, na muda aliokaa kama mwenyekiti ni vyema tu akaacha wengine waendeleze mapambano.
Wewe umeanza kumpinga Mbowe sasa, yatakukuta yaliyomkuta Zitto na Kitila Mkumbo.

Mbowe ni nguzo muhimu ndani ya Cdm kwa Sasa.
Retired JokaKuu Nguruvi3 zitto junior
 
Kwahiyo hawa wa sasa mnaowachagua wanaingia bungeni kushirikiana na wabunge waliopita kwenye uchaguzi upi wa halali?

Maana kuanzia spika na wengine wote ni matokeo ya ule uchaguzi, nakumbuka mliwahi kusema bunge na kila kitu ni batili kwahiyo nilidhani hamtakuwa tayari kuchangamana nao.

KAZI IENDELEE[emoji3]
Hii pointi yako ya msingi sana, let's wait and see the outcome.
 
U

Unakumbuka jana nilikwambia nini kijana...
COVID 19 hawatafukuzwa ila kitakachofanyika watatakiwa wajiuzulru ubunge kwa lazima kisha wabaki na uanachama wao kama watapenda ili waangaliwe kweli wanipenda CHADEMA au ni njaa tu. kisha wanateuliwa wabunge WAPYAAAAAAAAAAAAAA!!! nnje ya hawa covid19 na hapa ndio utakuwa mwisho wa MAIGIZO YA CCMnduGAY na mbuzi zake
Kisha uchaguzi wa 2020 utakuwa ulikuwa wa haki?
 
Mchakato halali wa kupata wabunge halali ufanyike??

Kwahiyo sasahivi mmeyakubali matokeo ya uchaguzi wa 2020(sio batili), na sio kama ambavyo mlikuwa mnapiga kelele mwanzoni kuukataa uchaguzi?

Sasa wajinga ni wakina nani, waliokubali matokea tangu mwanzi(hao 19), au nyinyi mlioweka msimamo kisha mkalainika??

NB:Sio rahisi kuwafukuza hao 19.
Zama zimebadilika mkuu! Ni kweli tulikataa matokeo ya uchafuzi ule, lakini kazi ya Mungu ya tarehe 17 March 2021, haina makosa! Hatuwezi kukataa matokeo ya kazi ya Mungu, ni lazima kushirikiana na walio baki kuijenga nchi!
 
Siipuzi nguvu ya Mbowe acha upotoshaji wa kijinga, nasema kwa sasa muda wa yeye kuendelea kuwa mwenyekiti umepita. Kipi huelewi hapo?
Unasema wewe kama nani?

Kama umepita mbona anaendelea kuwa mwenykiti?

Mkubali tu kwamba chadema ni Mbowe na Mbowe ndio chadema!

Na kwa maneno yenu huwa mnasema kabisa akitoka mbowe uenyekiti chama kitakufa maana ccm itaweka mamluki.
 
Kusaliti msimamo wa chama wa kutotambua matokeo ya uchaguzi haramu wa yule dhalimu wa chattle.
Vipi wakiteuliwa wengine.?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huwa nakuonea huruma Mbowe anavyowapelekesha
 
Hawajayakubali matokeo, bali dhalimu aliyegiza uchaguzi ule unajisiwe yuko motoni. Hivyo maamuzi yanaweza kufanyika sasa kuendana na mabadiliko ya utawala. Nitawashangaa cdm wakikubaliana na matokeo yale ya uchaguzi uliokuwa wa kihayawani vile. Wanaweza kufanya maamuzi fulani fulani kuendana na mazingira ya sasa baada ya yule muhuni kufariki, lakini sio kukubali kuwa matokeo yale kuwa yalikuwa sawa.
Kwahiyo sasa hivi mna haki zote za kisiasa baada ya dhalimu kuwa motoni?
 
Naona unachanganya aidha kwa makusudi au kwa kutoelewa, ni hivi uchaguzi ule ulikuwa batili, hata zipigwe mbwembwe zote ukweli huo haubadiliki. Hao wabunge wanachukuliwa hatua kwa kusaliti msimamo wa chama kutotambua matokeo ya uchaguzi ule, na kisha kuforge njia yao kuingia bungeni kwa kushirikiana na bunge la Ndugai na serikali ya Magufuli.
Kwa hiyo wakiadhibiwa alafu mkapelekewa wabunge wengine msimamo huo vipi unakuwaje?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mashabiki wa chadema hadi huruma yani
 
Hawa kukumaji wakisamehewa na kuachwa waendelee kuwa wabunge kwa uharamia waliofanya natangaza rasmi narudisha kadi yangu rasmi ya cdm najiunga na chama kingine........ tutakua tumetofautiana sana kiitikadi na mitazamo
Mbona hukurudisha Lowasa na Sumaye walipoiteka chadema?
 
Usichanganye mkuu
Chama kikisusia hakina MAMLAKA ya kumzuia mbunge wake aliyechaguliwa na wananchi asiende kuwawakilisha bunge, kikimshauri asiende na akaamua kwenda inakua sio busara kumfukuza uanachama kwa kigezo hicho

Lakini hawa wahuni akina mzee mdee walifoji barua ya chama na wakajiteua kinyemela huku wengine wakiachiwa gerezani usiku saa2 na kesho yake wanaapishwa nje ya viunga vya bunge na muhuni Ndugai

Tatizo kuu hapa ni kufoji barua ya chama na kujipendekeza kihuni kwa msaada wa mtesi wao ccm
Inamaana hamlioni hili mkuu?
Acha kuongopa!

Mbowe mwenyewe kwa mdomo wake alisema chadema haitambui matokeo na haina mbunge hata mmoja bungeni
 
Mazingira yamebadilika japo bado uchaguzi ule ulikuwa wa kihayawani. Ukitaka kujua mazingira yamebadilika tazama zile kejeli za dhalimu dhidi ya wazungu, na jinsi mama yuko karibu na Wazungu kwasasa, mpaka Piraah katengeneza movie la Roho Tua na bi tozo. Kwasasa dhalimu yuko motoni, na spika aliyekuwepo anagombea nafasi za maswali ya nyongeza na kina msukuma. Kipi huelewi hapo?
Hayo ndio yamefanya sasa ule uchaguzi uwe halali?

Kwa hiyo kuwasifia wazungu ndio furaha yenu?

Ok.. Kama bado mnasema siyo halali, kwa hiyo mnaenda kushiriki na watu haramu?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbowe huwa anajigeuzia tu wafuasi wake kama chapati!

Na vipi katiba mpya mmefikia wapi?
 
Back
Top Bottom