Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

Zama zimebadilika mkuu! Ni kweli tulikataa matokeo ya uchafuzi ule, lakini kazi ya Mungu ya tarehe 17 March 2021, haina makosa! Hatuwezi kukataa matokeo ya kazi ya Mungu, ni lazima kushirikiana na walio baki kuijenga nchi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wafuasi wa chadema wana upumbavu mwingi sana.

Mbowe anafurahia sana kuwa na wafuasi mazuzu namna hii
 
CDM kuweni makini na GENERALI ULIMWENGU huyu alishakuwa kachero mbombezi nadhani anatumikia kiapo chake cha utii. Subiri muone
 
Hayo ndio yamefanya sasa ule uchaguzi uwe halali?

Kwa hiyo kuwasifia wazungu ndio furaha yenu?

Ok.. Kama bado mnasema siyo halali, kwa hiyo mnaenda kushiriki na watu haramu?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbowe huwa anajigeuzia tu wafuasi wake kama chapati!

Na vipi katiba mpya mmefikia wapi?
Tutashirikiana na serikali iliyopo madarakani kuipata katiba mpya. Huko bungeni hawaendi 19 wapya tu, tutatumia kila fursa kuingia huko! Kama kuna wabunge haramu mle, tuna kosa gani kuingiza halali?! Na kwa sababu sukumagang mnakwazwa, kufeni tu mtuachie nchi yetu!
 
Yule mmoja mnamuogopa sana inashangaza mno uchaguzi mliouona batili na onyo akapewa kapuuza(since day one alikubali ushindi wake kuwa halali)

Pili mnaowaita covid mnawaogopa sana. Chadema kinajulikana kutimua wanachama wake fasta ila akina halima wanawahenyesha,kama kweli walifoji saini mbona mnapiga danadana kuwafukuza,zitto na wenzie wala chama hakikuchukua muda mrefu kuwatimua. Acheni kiki wakuu iwe covid 19 au 20 wote kwa apomoja waliutambua kuwa uchaguzi halali wakati chama kiliukataa
Hakuna uchaguzi ambao CDM iliukubali ulikua halali na IKAUTAMBUA....... HAKUNA, inachofanya ni demonstration kuonyesha hakubaliani na rafu, enzi za Jk walisusia sana bunge ikiwemo kutoka bungeni nk
Uchaguzi uliopita rafu zilikua kali sana na hatua ya kwanza kwakuwa kulikua kuna mbunge mmoja tu chama kikaona kisusie kwanza kupeleka wabunge bungeni kama alivyosisiwa JK lakini mwishowe wakapiga nae gahawa ikulu maisha yakaenda.........tatizo sio KUTOTAMBUA MATOKEO
Sasa hawa wahuni wakakimbilia kufoji barua ya kujiteua
Chama kimewahi kuwa na msimamo wa kutopokea posho kubwa lakini wapo waliogoma wakapokea na mambo yakaendelea bila kufukuzana
Chama kiliwahi kukataza kuhudhuria hafla za serikali wapo wabunge walienda na haikua issue..... tofautisha makosa

Wewe unamuona huyo mama tu wapo vitongoji na wenyeviti wa mitaa wanaendelea kazi zao baada ya chaguzi hizi

Narudia issue ni kufoji barua ya kujiteua
Kwa namna yoyote ile ilikua ni lazima CDM baadae wangepeleka majina kama wanavyosusia chaguzi zote na baadae maisha yana kwenda

Ugumu wa issue ya akina Mdee sio kuwafukuza, ugumu ni kwamba wenye sheria CCM wamewateu kinguvu kuwa wabunge wa CDM, barua zimepelekwa kote kuanzia kwa msajili hadi bungeni lakini wamekataa kukubali maamuzi ya CDM wamesimama na Covid19 halafu leo unailaumu CDM inakigugumizi seriously?
 
Acha kuongopa!

Mbowe mwenyewe kwa mdomo wake alisema chadema haitambui matokeo na haina mbunge hata mmoja bungeni
Hakuna uchafuzi ambao cdm imewahi kuukubali na kuutambua
 
Maamuzi yyte yale lazima kutakuwa na connection na kikao cha juzi Ikulu lazima tujifunze kufikiria kama majasusi ya Kremlin
 
Gazeti lote pumba tupu. Nyie wafukuzeni uanachama officially ili dunia mnayopenda kuitaja ijue covid sio wanachama wenu halali
Hakuna uchaguzi ambao CDM iliukubali ulikua halali na IKAUTAMBUA....... HAKUNA, inachofanya ni demonstration kuonyesha hakubaliani na rafu, enzi za Jk walisusia sana bunge ikiwemo kutoka bungeni nk
Uchaguzi uliopita rafu zilikua kali sana na hatua ya kwanza kwakuwa kulikua kuna mbunge mmoja tu chama kikaona kisusie kwanza kupeleka wabunge bungeni kama alivyosisiwa JK lakini mwishowe wakapiga nae gahawa ikulu maisha yakaenda.........tatizo sio KUTOTAMBUA MATOKEO
Sasa hawa wahuni wakakimbilia kufoji barua ya kujiteua
Chama kimewahi kuwa na msimamo wa kutopokea posho kubwa lakini wapo waliogoma wakapokea na mambo yakaendelea bila kufukuzana
Chama kiliwahi kukataza kuhudhuria hafla za serikali wapo wabunge walienda na haikua issue..... tofautisha makosa

Wewe unamuona huyo mama tu wapo vitongoji na wenyeviti wa mitaa wanaendelea kazi zao baada ya chaguzi hizi

Narudia issue ni kufoji barua ya kujiteua
Kwa namna yoyote ile ilikua ni lazima CDM baadae wangepeleka majina kama wanavyosusia chaguzi zote na baadae maisha yana kwenda

Ugumu wa issue ya akina Mdee sio kuwafukuza, ugumu ni kwamba wenye sheria CCM wamewateu kinguvu kuwa wabunge wa CDM, barua zimepelekwa kote kuanzia kwa msajili hadi bungeni lakini wamekataa kukubali maamuzi ya CDM wamesimama na Covid19 halafu leo unailaumu CDM inakigugumizi seriously?
 
Gazeti lote pumba tupu. Nyie wafukuzeni uanachama officially ili dunia mnayopenda kuitaja ijue covid sio wanachama wenu halali
Mkuu mke wakwangu mie nikitaka kumfukuza unaumia weye mpinzani wangu😂😂😂

Yaani mnatoa wafungwa jela saa mbili usiku halafu kesho yake asubuhi eti munamuapisha mbunge wa CDM😂😂😂😂

Mkuu tutaache haya twende tukapeano Odd kule tutaongea lugha moja
 
Mmh akina mdee wake zako kumbe daah

Mbowe alitolewa gerezani kimsamaha na kukaribishwa ikulu cha ajabu kipi hapo

Hee wapi huko mnakopeana odd au umechanganya ID?
Mkuu mke wakwangu mie nikitaka kumfukuza unaumia weye mpinzani wangu😂😂😂

Yaani mnatoa wafungwa jela saa mbili usiku halafu kesho yake asubuhi eti munamuapisha mbunge wa CDM😂😂😂😂

Mkuu tutaache haya twende tukapeano Odd kule tutaongea lugha moja
 
Whatever the case, Mbowe ndio muamuzi! Tutulie na kusubiri nini ataamua. Akitaka kuwasamehe mtabadili gia angani penda msipende. Hizi siasa zetu usiwe na maneno mengi sana! Subiri matokeo!
Ulivyo mnafiki,ukikosa furaha huko CCM unatafuta faraja kwa CDM na Mbowe. Mataga kipindi hiki kazi mnayo.
 
Sidhani kama CHADEMA wanao ubavu wa kuwatema hawa Covid-19. Sanasana watapewa onyo na kupewa Baraka za kuendelea na Ubunge wao. Mwisho wa siku Chama kuendelea kupokea ruzuku
Watakuwa wamefanya kosa kubwa sana.
 
Mazingira yamebadilika japo bado uchaguzi ule ulikuwa wa kihayawani. Ukitaka kujua mazingira yamebadilika tazama zile kejeli za dhalimu dhidi ya wazungu, na jinsi mama yuko karibu na Wazungu kwasasa, mpaka Piraah katengeneza movie la Roho Tua na bi tozo. Kwasasa dhalimu yuko motoni, na spika aliyekuwepo anagombea nafasi za maswali ya nyongeza na kina msukuma. Kipi huelewi hapo?
Sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom