Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamefurahi Kanumba kufa?

Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamefurahi Kanumba kufa?

Mdee alipaswa akae nje ya suala hili la Lulu. Zaidi ya yote ataonekana kama anasaka umaarufu wa bure (ambao yeye tayari anao kwa umakini na uwezo wake wa kujenga hoja.)

Kama suala ni kutetea watoto mbona mtoto Rama mla vichwa hakupata support ya namna hii? Ama kwa kuwa Lulu ni maarufu?


Katiba ya Tanzania inasema "Kila mwananchi ana uhuru wa kutoa maoni yake"

Halima Mdee na Ester Bulaya wametoa maoni yao kama Watanzania na siyo kama Wabunge.

Suala la Rama mla Watu; kama Ulivyosema "Mla watu"

Hivi ulitegemea nani mwenye akili timamu atakayemtetea MCHAWI anayejionyesha hadharani???




MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Acheni Vyombo vinavyohusika vifanye Uchunguzi huru. Well simpendi Lulu kwa Matendo yake katika Jamii lakini hilo lisiwe sababu ya nyie ku conclude kwamba Lulu Kamuua Kanumba. Hakuna ajuaye siri ya Kifo cha Kanumba zaidi ya Lulu na Kanumba Mwenyewe. Kanumba hayupo tumpe nafasi Lulu aelezee kilichotokea na Vyombo husika vipime kauli yake na kutoa Maamuzi kulingana na Utetezi wake

kunavyombo bongo? Mi nimeibiwa gari Mpaka Leo cjapata taarifa yoyote,
 
Nafikiri wabunge hawa wameamua kufanya hivyo kwa sababu hakuna anayechambua udhaifu wa marehemu. Ni kweli kuna picha za uchi kwenye mtadao, kwani Kanumba alikuwa mbumbumbu wa kukosa kujua hilo? Inawezekana marehemu Kanumba amechangia sana katika tabia mbaya za Elizabeth.

Hakuna anayejiuliza ilikuwaje binti mdogo vile alifanyiwa au alitaka kufanyiwa nini na marehemu. Inawezekana Elizabeth alimuwahi Kanumba katika kujitetea ili asiuawe yeye.

Ni haki Lulu kupata utetezi.
 
- Hivi kweli unaamini kwamba Wabunge wanaweza ku-take side bila FACTS, I mean kwa hali ya kwaida haiwezekani mkuu mbunge aakamua tu kwa kukurupuka kwenye ishu sensitive kama hii, lazima wanazo FACTS, labda ungewauliza wana nini lakini kuwahukumu wanafurahia ni over reaching!

William.

Hakuna mtu mwenye fact hadi sasa kwani chumbani walikuwamo watu wawili the deceased na the accused sasa wao facts wamezitoa wapi wakati upelelezi uanaendelea na Mahakama haijaanza kusikiliza kesi hiyo. Si shangai wabunge ku-take side kwani nao ni dinadamu tena wakawaida sana huwenda wana hidden agenda.
 
Wana JF ukweli ni huu: Simu iliyomuua KANUMBA ni kwamba LULU alikuwa anachati na Mheshimiwa ZITTO ZUBERI KABWE. Kanumba akiwa bafuni alimsikia LULU akise ZITTO KABWE I LOVE YOU THAN ANY BODY and TAKE A KISS MWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA. I miss you ZITTO KABWE. KANUMBA is just for short time but you ZITTO KABWE is FOR FOREVER. Baada ya kusikia hivyo kanumba alitoka bafuni na mapovu yake bila kujifuta na ndio mapovu ambayo madaktari waliyaona kwa kanumba. Halima Mdee ndio kuwadi wa Zitto aliofanikisha mpango wa zitto kumapta LULU kimapenzi, alijifanya kuwa rafiki wa mama lulu kumbe moyoni ana lake jambo. Hivi sasa zitto na halima wamefoji cheti cha kuzaliwa lulu kwa lengo la kumkomboa lengo akitoka zitto amuoe lulu na kuondokana swala la lulu kuwa nyumba ndogo ya zitto kama ilivyokuwa awali. WANA JF Mwenye akili haambiwi fikiri. unazani msukumo wa zitto kwa kufoji vyeti vya lulu ni bure. nitafuteni kwa namba 0757755333

Pole sana! Ushindwe na ulegee! Ni wenye fikra finyu kama zako ambao wanaweza kuamini utumbo kama huu uliouweka hapa, inaonyesha gamba lako limekomaa kama la yule mwana propaganda wenu wa zamani Tambwe Hiza. Unaandika vitu vya uongo vya kuchafua watu bila hata ya aibu! Kwanza hizo namba ni za CDM Mkoa wa Arusha, una maana gani kuziweka hapo kwa mambo ya kijinga namna hiyo! Akili yako ni finyu na inaonyesha unafikiri kwa kutumia Masaburi! Sera zenu za Uongo na U-LUSINDE haziwezi kuwasaidia!

Go to hell!
 
Hakuna mtu mwenye fact hadi sasa kwani chumbani walikuwamo watu wawili the deceased na the accused sasa wao facts wamezitoa wapi wakati upelelezi uanaendelea na Mahakama haijaanza kusikiliza kesi hiyo. Si shangai wabunge ku-take side kwani nao ni dinadamu tena wakawaida sana huwenda wana hidden agenda.

- Well, ninaamini Wabunge wana FACTS, ila sisi hapa ndo hatuna sasa kila mmoja apewe nafasi ukweli utajulikana later ni kwa nini, lakini sio wakati wa kuhukumiana bila FACTS!

William.
 
Pole sana! Ushindwe na ulegee! Ni wenye fikra finyu kama zako ambao wanaweza kuamini utumbo kama huu uliouweka hapa, inaonyesha gamba lako limekomaa kama la yule mwana propaganda wenu wa zamani Tambwe Hiza. Unaandika vitu vya uongo vya kuchafua watu bila hata ya aibu! Kwanza hizo namba ni za CDM Mkoa wa Arusha, una maana gani kuziweka hapo kwa mambo ya kijinga namna hiyo! Akili yako ni finyu na inaonyesha unafikiri kwa kutumia Masaburi! Sera zenu za Uongo na U-LUSINDE haziwezi kuwasaidia!

Go to hell!
Msuguano wa vyama umeibukia wapi? mbona wanaotaka KUMNASUA mtuhumiwa ni wa CDM & CDM
 
...Laiti kanumba angefufuka leo ghafla ilimfaa afunguliwe kesi ya ubakaji yeye na huyo mdogo wake kama walivyofanyiwa akina babu seya...Lulu mwenye miaka chini ya 18 kanumba alikuwa anafanya nae nini usiku ule...kwa nchi inayofuata bora misingi ya sheria na mahakama zisizoingiliwa, Lulu ilibidi awe huru ndani ya siku 30 tu...Lulu ana haki ya kutetewa kisheria..mimi nadhani mtoa mada ameandika mada hii akiwa uchi amejifungia katika choo cha shimo maana hata aibu haoni kwa kuwakejeli akina Mdee.
 
- Well, ninaamini Wabunge wana FACTS, ila sisi hapa ndo hatuna sasa kila mmoja apewe nafasi ukweli utajulikana later ni kwa nini, lakini sio wakati wa kuhukumiana bila FACTS!

William.
Billy sitakuelewa hata kama wamezungumza na mtuhumiwa huo ni ushahidi wa upande mmoja vinginevyo uniambie wana satellite yao iliyokuwa inafuatilia jambo hilo au walitega CCTV Camera. Kwa kuwa ushahidi ni wa upande mmoja ndiyo maana tunahitaji makachero kutafuta chanzo cha kifo. Wabunge si angels.
 
...Laiti kanumba angefufuka leo ghafla ilimfaa afunguliwe kesi ya ubakaji yeye na huyo mdogo wake kama walivyofanyiwa akina babu seya...Lulu mwenye miaka chini ya 18 kanumba alikuwa anafanya nae nini usiku ule...kwa nchi inayofuata bora misingi ya sheria na mahakama zisizoingiliwa, Lulu ilibidi awe huru ndani ya siku 30 tu...Lulu ana haki ya kutetewa kisheria..mimi nadhani mtoa mada ameandika mada hii akiwa uchi amejifungia katika choo cha shimo maana hata aibu haoni kwa kuwakejeli akina Mdee.
Soma post ya Speaker jinsi huyo Lulu anavyosema kuhusu umri wake kwenye kipindi cha Mkasi EATV
 
Ila hata mimi nashangaa hawa wabunge walikuwa wapi siku zote. Huyu binti hakuanza kuandikwa leo wala jana. Hawa kuona athari za mienendo yake?

Mtoto anatakiwa kukanywa kabla ya matendo. Anyway maamuzi ni yao ili mradi hawavunji sheria.
 
Mleta hoja anatuhakikishiaje kuwa Lulu ana makosa wakati kesi ndiyo imeanza kusikilizwa. Anatumia vigezo gani kuwatia watu hatiani, tabia zao za huko nyuma au ushahidi wa namna tukio la kifo lilivyotokea, au upenzi alionao kwa marehemu, au chuki aliyonayo kwa mtuhumiwa. Tabia za namna hii za kupitisha hukumu kwa jambo linalohitaji uchunguzi linadhihirisha upungufu fulani wa fikra makini. Kwa bahati mbaya watu wa aina ya mleta hoja ni wengi katika jamii yetu. Si kosa kwa wabunge kutaka kumtetea Lulu kisheria. Asitetewe kwa nini?
 
Ila hata mimi nashangaa hawa wabunge walikuwa wapi siku zote. Huyu binti hakuanza kuandikwa leo wala jana. Hawa kuona athari za mienendo yake?

Mtoto anatakiwa kukanywa kabla ya matendo. Anyway maamuzi ni yao ili mradi hawavunji sheria.

Si vizuri kuzungumza mambo ya marehemu, lakini kama huyu binti ni mbaya kiasi hiki marehemu aliwezaje kuwa na uhusiano naye. WATU WAWILI HAWAWEZI KUTEMBEA PAMOJA WASIPOPATANA. Wabunge wanayo haki ya kumtetea binti huyo.
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.

Mtu mzima ovyo, hiyo habari mbona inafit Issa Michuzi Blog
 
Lakin ilisemwa kuwa halima na ester ni wapenzi. Kwa hiyo jambo lolote linalogusa mapenzi hasa haramu linawagusa. Mbona alopokuwa(lulu) akitembea nusu uchi hawakusema? Jamii inasoma mienendo yao hao wabunge
 
Kwani Lulu kaua? Kosa la Lulu ni kuwa at the wrong place at the wrong time. Ana tabia mbaya nakubali na haya yanamtokea kwa sababu za tabi zake. Ila naamini hakuua. Tusubiri mahakama itasema nini tusimhukumu Elizabeth.
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
 
Ingependeza mngeomba kwanza ushauri wa kisheria kabla hamjawajadili hao! Lulu's case is a very simple case. She just needs wakili makini. She is innocent until pronounced guilty - Art. 13(6)(b) ya Katiba. Waandesha mashtaka wameshaanza kuchemka kumfungulia mashtaka ya "murder" hali wakijua hawataweza kuprove "intention" at the end of the day watabadilisha mashtaka na kuwa "manslaughter". Plus defences that may be raised in favour of Lulu, makes the case so simple. Nawaunga mkono, kwani Lulu katuhumiwa na ana haki ya kujitetea/kutetewa.
 
Ingependeza mngeomba kwanza ushauri wa kisheria kabla hamjawajadili hao! Lulu's case is a very simple case. She just needs wakili makini. She is innocent until pronounced guilty - Art. 13(6)(b) ya Katiba. Waandesha mashtaka wameshaanza kuchemka kumfungulia mashtaka ya "murder" hali wakijua hawataweza kuprove "intention" at the end of the day watabadilisha mashtaka na kuwa "manslaughter". Plus defences that may be raised in favour of Lulu, makes the case so simple. Nawaunga mkono, kwani Lulu katuhumiwa na ana haki ya kujitetea/kutetewa.
 
Halima wewe tunakuheshimu sana, achana na hili tukio. Lulu ameharibika siku nyingi sana tena akiwa under 18, picha za uchi kwa mitandao n.k. hamkusema kitu, sasa matokeo ya kuharibika kwake mnataka mseme, acha dada yangu maana inataka kuwa kama mwehu kuongelea athari za kuharibika kwake bila kuongelea kuharibika kwenyewe.

Unakumbuka alikana kuwa hana uhusiano na Kanumba, Je imekuwaje tena? ni muongo hivyo kila analosema hatuwezi kuamini kirahisi. Under 18 kapata wapi driving license? ni muongo huyo dada yangu atakuchafua bure. Kituoni aliandikisha ana miaka 18, kwani hajui hata umri wake? Mama yake akaleta cheti ana miaka 16 na siku 360 hadi leo hapo tena inaonesha ni muongo.

So please achane naye, ashughulike na waongo waongo wenzake sio wewe.

Hapo kwenye red ndio hapo hasa panapomfanya Lulu awe innocent!

Kimsingi ulichoongea ndicho hasa
kinachohalalisha kwamba mtoto Lulu hana hatia, japo fina proof ni ya Mahakama. Ndugu yangu, hata kama una mahaba kiasi gani na marehemu angalia upande wa pili aliyokuwa anamfanyia huyo mtoto ni sahihi?

Kwa haraka haraka tutakimbila hoja kwamba Lulu alikuwa na tabia mbaya tangu siku nyingi huku tukisahau UTOTO wake ndio uliomfanya awe hivyo na hasa alipokutana na vishawishi vya watu aina ya marehemu na wengine wengi (watu wazima). Hata mwanao mdogo wa kike akiingia ndani ya 18 za hao jamaa hatoki.

In short wa kulaumiwa hapa wala sio Lulu bali JAMII NZIMA kwani imechangia kwa kiasi kikubwa kumfanya awe jinsi alivyo tena katika umri wake wa utoto ambapo hajapevuka vya kutosha kujua jema na baya.

The two MPs kama wameongea hivyo wana hoja tena yenye mashiko.
 
Back
Top Bottom