Ni vyema waondoke ila ninyi wazalendo uchwara msiibe kura wala figisu zozote ili matakwa ya wananchi yatimizwe.Poleni sana chadema wabunge 20 wamewakacha wamebaki wabunge 15. Katika hao 15 kuna tetesi wabunge 10 watatangaza kujivua chadema tarehe 20 /06/2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe angekuwa anakula ruzuku CAG anayekagua hesabu angeshamchoresha kitamb na yule bwana wa visasi aliyembomolea club Billcanas na kumharibia mashamba kule Moshi angeshampoteza kule gerezani alikowahifadhi Kitilya na wenzake mwaka wa 5 sasa bila haya.
Hatuba ya Mbowe imepewa uzito mkubwa sana worldwide , ndugai kaumia sana !"Haya yanayotoke sasa, watu kuipa uzito hotuba ya Mhe. Mbowe kuliko ya Mhe. Magufuli, isiwakasirishe CCM, bali waone ni wapi wameteleza na wapi Mbowe ameenda mbele zaidi, Spika asituchukie bali akishauri chama chake." Mhe. Owomkyalo
TATIZO GANI? Wewe na Ndugai yaelekea kichaka chenu ni kimoja. Huko kwenu kumejaa matatizo, mwakwepa hata kuyanong'ona msije kuwasababishia madhara SHANGAZI zenu. Sijui uhalali wa kushauri wengine mwaupataje?Tatizo lilianzia wapi na limelelewa mpaka limefika hapa leo?
Jibu analo M/kiti Chama, wengine mtaongea bahati na sibu Tu, M/kiti ufike Wakati atwambie mpango wake
Ahsante kwa taarifaPoleni sana chadema wabunge 20 wamewakacha wamebaki wabunge 15. Katika hao 15 kuna tetesi wabunge 10 watatangaza kujivua chadema tarehe 20 /06/2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Mhe. Mbowe alihutubia 'taifa' kumbe !!!???.....tehtehteh"Haya yanayotoke sasa, watu kuipa uzito hotuba ya Mhe. Mbowe kuliko ya Mhe. Magufuli, isiwakasirishe CCM, bali waone ni wapi wameteleza na wapi Mbowe ameenda mbele zaidi, Spika asituchukie bali akishauri chama chake." Mhe. Owomkyalo
Hivi Mhe. Mbowe alihutubia 'taifa' kumbe !!!???.....tehtehteh
Kama itakuwepo tume huru ya uchaguzi, Chadema watapata mafanikio makubwa kuliko hata 2015. Lkn kwa tume hii ni kweli hata wabunge 3 wanaweza wasipatikane.Kama Chadema watapata walao Wabunge watano wa kuchaguliwa 2020 ntatembea uchi kutoka Mbagala hadi Tegeta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani lazima uwe kasuku?Ni maneno ya lijuakali mbunge wa Chadema, amesema Mbowe ametafuna bilion 8 sio mimi
Kwani lazima uwe kasuku?
Hapo chacha[emoji23][emoji23][emoji23]So sad
Chadema ilifanya kosa moja kubwa ambalo Mbowe atalijutia hadi uzee wake.
Waliacha kuijenga Chadema katika misingi yake wakamchukua Lowasa.
Wengi wa wabunge walioshinda Chadema walitokea Ccm, Kwahiyo kule Chadema walifuata madaraka
Bahati mbaya wakakuta chairman ni dikteta anakula ruzuku peke yake
Huu mwandiko MATAGA hawawezi kuusoma, wao ni NDIYOO, ndio maana hata walipotoa pendekezo ZITTO auwawe walisema ndiyoooo.Mbowe angekuwa anakula ruzuku CAG anayekagua hesabu angeshamchoresha kitamb na yule bwana wa visasi aliyembomolea club Billcanas na kumharibia mashamba kule Moshi angeshampoteza kule gerezani alikowahifadhi Kitilya na wenzake mwaka wa 5 sasa bila haya.
Tumia akili zako vizuri kama unazo lakinihao viti maalum si tuasikia ili upate ni mpaka utoe ilee je wako tayari kutoa?