Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 5,119
- 4,569
Pia:Umemsahau JJ Mnyika na mchungaji Msigwa!
23. Freeman Mbowe
24. Halima Mdee
25. Godbless Lema
26. Heche
27. Bulaya
28. Matiko
29. ......
30. .......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia:Umemsahau JJ Mnyika na mchungaji Msigwa!
Hao barua zao zilikataliwa awali na Katibu mkuu Dr Bashiru wakaagizwa waandike upya.Pia:
23. Freeman Mbowe
24. Halima Mdee
25. Godbless Lema
26. Heche
27. Bulaya
28. Matiko
29. ......
30. .......
Vipi Joyce yeye Ana uhakika wa kurudi?So sad
Chadema ilifanya kosa moja kubwa ambalo Mbowe atalijutia hadi uzee wake.
Waliacha kuijenga Chadema katika misingi yake wakamchukua Lowasa.
Wengi wa wabunge walioshinda Chadema walitokea Ccm, Kwahiyo kule Chadema walifuata madaraka
Bahati mbaya wakakuta chairman ni dikteta anakula ruzuku peke yake