So sad
Chadema ilifanya kosa moja kubwa ambalo Mbowe atalijutia hadi uzee wake.
Waliacha kuijenga Chadema katika misingi yake wakamchukua Lowasa.
Wengi wa wabunge walioshinda Chadema walitokea Ccm, Kwahiyo kule Chadema walifuata madaraka
Bahati mbaya wakakuta chairman ni dikteta anakula ruzuku peke yake