Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

25 Amendment (Amendment XXV) ya kule mbele ipo huku?
 
Usimdharau usiye mjua,unajuaje kama siyo kati ya hao wabunge?
Nshonzi, never with CCM members, history tells it all! Kuna vitu vinajulikana, inajulikana kuwa wahaya wana majivuno ya Usomi, wanathamini sana elimu! Nshomile, nothing will go contrary to that among the Hayas! Umenipata nadhani! Nshonzi, Nshomile!
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZURU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzuru mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Wajiuzulu ubunge kwani walipewa huo ubunge kama Zawadi na Rais?
 
Jina lako linaleta ukakasi wa habari yooote!

Yaani nilivolisoma tu, nikaacha kuisoma na habari yenyewe
 
hebu nicheke kwa dharau kuuubwaaaaaaaaaaaa!! Teh teh teh teh tehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh! Wabunge wenyewe akina Lusinde? Wabunge wenyewe akina Maji Marefu? Wabunge wenyewe akina Jah People? Wabunge wenyewe akina Mwakiembe? Hebu tuache utani bwana haitakaa itokee. Tutasubiri sanaaaaaaaa! Bora kama hao CCM ndo wangekuwa wa upinzani leo hii tungekuwa tunaongea mengine!
 
Yes wajiuzulu hao. Matamuko tu hayatawasaidia. Wakijiuzulu ubunge wao mi nitawaunga mkono. Wote nitawafanyia surprise majimboni mwao.
 
jaribu kuedit hapa kwenye rangi kuepuka yale aliyoyasema Mkulu leo kwamba tunapost UMBEYA
kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili. kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake. wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi
 
WIZI UMERUHUSIWA RASMI KWENYE OFISI ZA UMMA, KILA MTU POPOTE ALIPO NAYE AJINUFAISHE TU ASIOGOPE...
 
Wabunge wenyewe wanaoburuzwa na serikali kila siku, sitegemei jipya toka kwao.

Maana hao ndio wanoongoza kwa kula rushwa hasa kwenye kamati zao humo.

Juzi tu kamati ya mali asili na utalii wameshikana mashati huko loliondo kwa kutuhumiana kula rushwa toka Mfalme wa Loliondo.

Tatizo bunge lenyewe limekaa kinafiki tu zaidi ya kujali matumbo yao tu.!
 
Siasa za maji taka,propaganda hazitalifikisha Taifa popote.

Tufanyeni kazi.

Tanzania bila madawa ya kulevya inawezekana.
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Do! tanzagiza !
 
Namm nimewapigia cm wenzangu tujiuzuru mana tunabuluzwa kwenye nafasi zetu lo!
 
Mm wala siombi kwa aajili ya nchi maana inaongozwa na mungu
 
Msije mkamjalibu JPM alisshasena, yupotayari kulivunja bunge Mrudi kwenye Sanduku la kura, mimi nina imani JPM atarudi kwenye nafasiyake lakini kunawabunge hawatarudia.
Jipe moyo...mkwere ana kadi ya Chadema...ogopa hii nchi wewe...atakwenda na maji
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
wabunge hao hao ndo wanafiki wakubwa...wameptisha sharia za vyombo vya habari kandamizi,.,,,makato ya bodi ya mikopo na nyingmne kibao.....hili la bashite ndo wanataka taftia kiki?
 
Muhimili wa Bunge umejaribiwa sana hapa

Hivi Ndugai Bado anaumwa?

Tangu kipindi cha ESCROW alivyosafirishwa ndugai hajawahi kupona.
 
Back
Top Bottom