Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Ni kazi ya jk..umbwa wewe
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Unasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.
 
Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Wewe Chizi kweli, Raisi ndio ametoa Hela ya ujenzi!!
 
Unasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.
kwa katiba ipi inayowapa mamlaka hayo? zaid ya rais kulivunja bunge na wao kurud majimbon kusubir huruma ya wananchi...70% yao hawa uhakika wa kurud bungen kama uchaguz utarudiwa kesho.....wanafki waleeeeeee
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI

Misimamo ya kijinga
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Naona una stock kubwa ya viroba
 
Unasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.
Ha!ha!ha!Yaani kauli moja tu ya Magufuli Bunge halipo....mnavyoambiwa mhimili mmoja umejikita chini muwe mnaelewa....

Na uelewa tukifika kwenye hatua hiyo nchi nzima inarudia uchaguzi ngazi zote kuanzia Madiwani wabunge hadi Rais mwenyewe.

Na sitegemei kitu kama hicho kwa hili bunge letu lililojaa makanjanja na wachumia tumbo tu.
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Mkuu siasa haziko hivo. Sisi Wananchi tunafurahia kuwa na rais Magufuli, mchapa kazi wa kiwango hiki. Yaan mpaka miaka hii mitano iishe, nchi Itakuwa na kila kitu tulichokuwa tunakitaman.

Siasa ni kuwa na mawazo tofauti na hayo mawazo kuyauza kwa Wananchi ili wakupe ridhaa. Sasa kama Wananchi waliokupa kura wanakukubali kwann uache kufanya mambo ambayo yaliwafanya wakupe kura. Mtu yeyote anaruhusiwa kuwa na mawazo tofaut lakin mawazo ya walio wengi au mawazo ya walio na mamlaka ya kuamua ndio husimama.

Ukiona mawazo yako hayakubaliki na huwezi kuvumilia, unatoka, unaondoka na kwenda kujiunga na upande wa Pili. Ni sahihi kisiasa na inaruhusiwa.

Huwezi kuwa na mawazo negative lakin unalazimisha ndo yawe mwelekeo wa chama au serikali, huwezi kuwa na mawazo ya kuifanya serikali ionekane imeshindwa na wauza unga halafu ulazimishe kufuata mkondo huo then uendelee kuwa sehemu ya Serikali.

Tulizoea awamu ya Kikwete kuona mafisadi na wauza unga wakiamua kukuondoa madarakan kwa sbb umewaudhi ilikuwa lazima uondoke. Wapo wabunge walioondolewa kwenye ubunge kwa sbb waliwaudhi mafisadi, wapo hata mawaziri kama akina muhongo waliondolewa kwenye nafasi zao kwa sabb Mkuu alisalimu amri ya mafisadi.

Kama Magufuli angemuondoa Makonda madarakan, ange prove kuwa serikali yake imesalimu amri kwa wauza unga. Wafanye fitina wawezavyo lakin wajue kuwa awamu hii wanalo.

Kwa hiyo wabunge wasiokubaliana na mh Rais wabaki tu kama wabunge na ku practice kazi zao. Wahakikishe ahadi walizotoa kwa Wananchi wao wanazitekeleza, kama ahadi yao ni kumdhibit Magufuli na wameshindwa kwa sbb hadhibitiki, bas wajiuzuru waondoke kwa sbb Wananchi wao watawapima kwa hilo.

Lakin kama kilichowaleta bungen ni kutatua kero za Wananchi wao bas awamu hii, watatembea kifua mbele kwa sbb asilimia kubwa ya kero za Wananchi zitatatuliwa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wabunge wenyewe wanaoburuzwa na serikali kila siku, sitegemei jipya toka kwao.

Maana hao ndio wanoongoza kwa kula rushwa hasa kwenye kamati zao humo.

Juzi tu kamati ya mali asili na utalii wameshikana mashati huko loliondo kwa kutuhumiana kula rushwa toka Mfalme wa Loliondo.

Tatizo bunge lenyewe limekaa kinafiki tu zaidi ya kujali matumbo yao tu.!

Wabunge wanaotaka kuvunja TLS kisa Lissu.
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
We nae utakuwa zero brain mtu kujiuzulu kwenye kamati sio sawa na mambo ya ubunge
 
Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.


Matamko ni sawa na Kelele za vyura kutomzuia ngo'mbe kunywa maji.Hawaruhusiwe kuchangamaa na wale wenzao wa upande wapili.
 
Back
Top Bottom