Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Hiyo flyover Ina direct impact gani kwa mimi niliyepo hapa sing'isi?
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
wabunge watulie tu wasije jikuta mtu anavunjika kiuno bure. wengi wa wabunge wala hawajui tena ccm inasimamia nini. ikiwa walifaulu kuingia bungeni kwa kutumia hela wanajua hela ndio kila kitu na bila kua nazo tena nyingi hurudi tena mjengoni. kwa sasa bado wanampima mwenyekiti mpya wa ccm anayesema watu wanaweza kuingia mjengoni bure. hakika hawamuelewi
 
Mkuu siasa haziko hivo. Sisi Wananchi tunafurahia kuwa na rais Magufuli, mchapa kazi wa kiwango hiki. Yaan mpaka miaka hii mitano iishe, nchi Itakuwa na kila kitu tulichokuwa tunakitaman.

Siasa ni kuwa na mawazo tofauti na hayo mawazo kuyauza kwa Wananchi ili wakupe ridhaa. Sasa kama Wananchi waliokupa kura wanakukubali kwann uache kufanya mambo ambayo yaliwafanya wakupe kura. Mtu yeyote anaruhusiwa kuwa na mawazo tofaut lakin mawazo ya walio wengi au mawazo ya walio na mamlaka ya kuamua ndio husimama.

Ukiona mawazo yako hayakubaliki na huwezi kuvumilia, unatoka, unaondoka na kwenda kujiunga na upande wa Pili. Ni sahihi kisiasa na inaruhusiwa.

Huwezi kuwa na mawazo negative lakin unalazimisha ndo yawe mwelekeo wa chama au serikali, huwezi kuwa na mawazo ya kuifanya serikali ionekane imeshindwa na wauza unga halafu ulazimishe kufuata mkondo huo then uendelee kuwa sehemu ya Serikali.

Tulizoea awamu ya Kikwete kuona mafisadi na wauza unga wakiamua kukuondoa madarakan kwa sbb umewaudhi ilikuwa lazima uondoke. Wapo wabunge walioondolewa kwenye ubunge kwa sbb waliwaudhi mafisadi, wapo hata mawaziri kama akina muhongo waliondolewa kwenye nafasi zao kwa sabb Mkuu alisalimu amri ya mafisadi.

Kama Magufuli angemuondoa Makonda madarakan, ange prove kuwa serikali yake imesalimu amri kwa wauza unga. Wafanye fitina wawezavyo lakin wajue kuwa awamu hii wanalo.

Kwa hiyo wabunge wasiokubaliana na mh Rais wabaki tu kama wabunge na ku practice kazi zao. Wahakikishe ahadi walizotoa kwa Wananchi wao wanazitekeleza, kama ahadi yao ni kumdhibit Magufuli na wameshindwa kwa sbb hadhibitiki, bas wajiuzuru waondoke kwa sbb Wananchi wao watawapima kwa hilo.

Lakin kama kilichowaleta bungen ni kutatua kero za Wananchi wao bas awamu hii, watatembea kifua mbele kwa sbb asilimia kubwa ya kero za Wananchi zitatatuliwa.

Wakati mnashangilia hotuba za matusi za Mkullu,Makondakta ndiye mtu wake wa Karibu wa kukwapua RASLIMAlI za Umma na kunyang'anya mali za Matajiri.

Mwisho wa siku mtakuja kuona uovu wa Mkullu wange.Muda huongea lugha zote hata kichina
 
Mkuu siasa haziko hivo. Sisi Wananchi tunafurahia kuwa na rais Magufuli, mchapa kazi wa kiwango hiki. Yaan mpaka miaka hii mitano iishe, nchi Itakuwa na kila kitu tulichokuwa tunakitaman.

Siasa ni kuwa na mawazo tofauti na hayo mawazo kuyauza kwa Wananchi ili wakupe ridhaa. Sasa kama Wananchi waliokupa kura wanakukubali kwann uache kufanya mambo ambayo yaliwafanya wakupe kura. Mtu yeyote anaruhusiwa kuwa na mawazo tofaut lakin mawazo ya walio wengi au mawazo ya walio na mamlaka ya kuamua ndio husimama.

Ukiona mawazo yako hayakubaliki na huwezi kuvumilia, unatoka, unaondoka na kwenda kujiunga na upande wa Pili. Ni sahihi kisiasa na inaruhusiwa.

Huwezi kuwa na mawazo negative lakin unalazimisha ndo yawe mwelekeo wa chama au serikali, huwezi kuwa na mawazo ya kuifanya serikali ionekane imeshindwa na wauza unga halafu ulazimishe kufuata mkondo huo then uendelee kuwa sehemu ya Serikali.

Tulizoea awamu ya Kikwete kuona mafisadi na wauza unga wakiamua kukuondoa madarakan kwa sbb umewaudhi ilikuwa lazima uondoke. Wapo wabunge walioondolewa kwenye ubunge kwa sbb waliwaudhi mafisadi, wapo hata mawaziri kama akina muhongo waliondolewa kwenye nafasi zao kwa sabb Mkuu alisalimu amri ya mafisadi.

Kama Magufuli angemuondoa Makonda madarakan, ange prove kuwa serikali yake imesalimu amri kwa wauza unga. Wafanye fitina wawezavyo lakin wajue kuwa awamu hii wanalo.

Kwa hiyo wabunge wasiokubaliana na mh Rais wabaki tu kama wabunge na ku practice kazi zao. Wahakikishe ahadi walizotoa kwa Wananchi wao wanazitekeleza, kama ahadi yao ni kumdhibit Magufuli na wameshindwa kwa sbb hadhibitiki, bas wajiuzuru waondoke kwa sbb Wananchi wao watawapima kwa hilo.

Lakin kama kilichowaleta bungen ni kutatua kero za Wananchi wao bas awamu hii, watatembea kifua mbele kwa sbb asilimia kubwa ya kero za Wananchi zitatatuliwa.

Sikiliza hiki ndipo utaelewa nini maana ya HOTUBA za Magufuli na Matendo ya Makonda

 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.

Watanzania kwa uzushi na umbea...eti wabunge kadhaa (hawana majina na idadi) inasemekana (kumbe hakuna uhakika). Eti hali ya kisiasa kuzidi kukaa tenge (hatuoneshwi kivipi iko tenge). Acheni tu Magufuli atunyooshe.
 
Kunakitu kanifurahisha Leo bamdogo bashite, eti uamuzi niliufanya mwenyewe, nafomu nilichukua mwenyewe, sasa baba na kura ulijipigia mwenyewe?? Na kujiapisha mwenyewe???

Nahis kama bado anadhani yuko kwenye kampeni bamdogo alafu ajaamini yeye ni Pres, that's why anaforse ijulikane ni yeye, bamdogo tunajua jamani wewe ni rais!!! Ila walio mteua najua wako huko wanajuta kweli kweli!!!
 
Unasema tu wewe haujui katiba inasemaje. Je Kama wakipiga kura yakutokua na imani na Raisi na akidi ikatimia , si anachomoka.
Yule hatatoka ng'oo.
Haki ya Nani tena kama jamaa tutafika naye, sijui hata hiyo 2020 kama kutakua na uchaguzi mkuu. Sema na Mimi nimeota kama Lema, ndiyo tumaini pekee ninalolitegemea
 
Hawa ndo wangetuokoa na tufani hii, lakini kwa kupenda matumbo yao nao wanalia na sisi
 
Itabaki kuwa Tetesi mpaka Ww Mwenyewe utasinzia na Nchi Inasonga[emoji4] [emoji4]
 
Naona chengachenga Vile bunge la dharura atakaeliita nani? Au Yule mama ataliitisha? Tushaambiwa tuchape kazi mi nishatangulia naotesha jaman kamvua ndo kashaanza kunyesha huku kwetu naziba masikio nisisikie ya huko duniani tena yananipotezea muda
 
I wish wapeleke hoja ya kutokuwa na imani na rais Ili apigiwe kura ya kutolewa madarakani
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
sio bongo au unazungumzia bunge la sauzi mkuu
 
Back
Top Bottom