Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Wabunge wajiuzuru kwani walichaguliwa na Rais? Kwani bungeni wanamwakilisha Rais? Watakuwa wazembe na wasiojielewa. Kama mawaziri watajiuzuru sawa, hao ni wateule wake.
 
wabunge hao hao ndo wanafiki wakubwa...wameptisha sharia za vyombo vya habari kandamizi,.,,,makato ya bodi ya mikopo na nyingmne kibao.....hili la bashite ndo wanataka taftia kiki?
Wameshaona matokeo ya walichokifanya. Wasirudie makosa [HASHTAG]#voteofnoconfidence[/HASHTAG]
 
Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Hebu jiulize alipoingia madarakani ndio aliianzisha shughuli hiyo?
Sio kweli kuwa ilianzishwa na yule aliyemtangulia,anayedharauliwa kila kukicha?
 
Hahaha, juma pondamali asiuone huu uzi la una kesi ya kujibu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yani niache 90m mkopo wa gari,12m mshahara kila mwezi,50m hela ya Jimbo,kiinua mgongo cha 200m+ kila baada ya miaka mitano,marupurupu ya kamati n.k kukupigania wewe fukara? ?
Sahau ndugu,wajinga ndo waliwao! ! Hakuna mwakilishi yuko pale kwa ajili yako ndugu,wote tuko pale kwa ajili ya matumbo yetu na familia zetu na kutengeneza mtandao wa biashara. ..
Si wao wala sisi, usanii mtupu. .amka acha kudanganywa. ..fanya kazi kwa bidii utafanikiwa. ..
Point
 
Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Shughuli gani iliyofanywa pale ubungo ras jeff sijalewa kaka nijuze kidoogo!!
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
We huna uelewa hata ya unachoandika
 
I wish wapeleke hoja ya kutokuwa na imani na rais Ili apigiwe kura ya kutolewa madarakani
Hao hadi Mungu afanye muujiza wake la sivyo sioni wakifanya hivyo. Nchi nzima mtu mmoja anatuweka mfukoni
 
Bajeti ya mwaka ya matumizi ya Wizara ilikuwa ndogo mno na hakuna hata nusu waliyopata sasa mwaka huu ndio kakata kabisa
 
Msije mkamjalibu JPM alisshasena, yupotayari kulivunja bunge Mrudi kwenye Sanduku la kura, mimi nina imani JPM atarudi kwenye nafasiyake lakini kunawabunge hawatarudia.
Kwa katiba,tuliyonayo hata yeye analihitaji Bunge lenye wabunge wa CCM majority, utaongoza kwa shida mno bunge likiwa 50/50 kwa hili hata yeye hawezi kirahisi tu kuvunja Bunge, though kufanya hivyo kunaweza sasa kuzaa demokrasia ya kweli maana tuna imani wapinzani wanaweza kuongeza viti hasa kwa ujio wa wale majeruhi wa kisaisa toka CCM.
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Chin ya wabunge hawa wa CCM sahau kabisa hilo swala aisee
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Kweni wakitoka kuna shida?wapo watakaoweza kwenda na kasi tunayoitaka wananchi..mkeo akitoka kwako si utaoa mwingine kweni nini bhana...
 
Wabunge kadhaa wa chadema teh teh hilo bunge likaitwshe Hai...kwa pesa ya mbowe na gwajima
 
TULIFUNDISHWA KATIKA SOMO KA URAIA KUWA BUNGE LINA UWEZO WA KUMTOA RAIS MADARAKANI KWA KUPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NAE.
yaani wabunge wa ccm wampigie kula mwenyekiti wa chama kuwa hawana imani naye siyo au sijakuelewa. unaweza kunipa mifano ya wabunge watatu wa ccm wenye uwezo . huo mh rais anaagiza tufanye kazi tuache umbea
 
Back
Top Bottom