Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshaona matokeo ya walichokifanya. Wasirudie makosa [HASHTAG]#voteofnoconfidence[/HASHTAG]wabunge hao hao ndo wanafiki wakubwa...wameptisha sharia za vyombo vya habari kandamizi,.,,,makato ya bodi ya mikopo na nyingmne kibao.....hili la bashite ndo wanataka taftia kiki?
Hhhhhhhh ninahamu kuona Bunge lina piga kura ya kutokua na imani na JM
Msije mkamjalibu JPM alisshasena, yupotayari kulivunja bunge Mrudi kwenye Sanduku la kura, mimi nina imani JPM atarudi kwenye nafasiyake lakini kunawabunge hawatarudia.
Hebu jiulize alipoingia madarakani ndio aliianzisha shughuli hiyo?Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
PointYani niache 90m mkopo wa gari,12m mshahara kila mwezi,50m hela ya Jimbo,kiinua mgongo cha 200m+ kila baada ya miaka mitano,marupurupu ya kamati n.k kukupigania wewe fukara? ?
Sahau ndugu,wajinga ndo waliwao! ! Hakuna mwakilishi yuko pale kwa ajili yako ndugu,wote tuko pale kwa ajili ya matumbo yetu na familia zetu na kutengeneza mtandao wa biashara. ..
Si wao wala sisi, usanii mtupu. .amka acha kudanganywa. ..fanya kazi kwa bidii utafanikiwa. ..
Shughuli gani iliyofanywa pale ubungo ras jeff sijalewa kaka nijuze kidoogo!!Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
We huna uelewa hata ya unachoandikaWafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
Hao hadi Mungu afanye muujiza wake la sivyo sioni wakifanya hivyo. Nchi nzima mtu mmoja anatuweka mfukoniI wish wapeleke hoja ya kutokuwa na imani na rais Ili apigiwe kura ya kutolewa madarakani
Ni vigumu sana lakini si kwamba haiwezekani!Hicho kitu ni impossible fuatilia vizur kuhusu vote of no confidence kwa rahis ni kitu impossible kama unepata kuipitia katiba kidogo
Kwa katiba,tuliyonayo hata yeye analihitaji Bunge lenye wabunge wa CCM majority, utaongoza kwa shida mno bunge likiwa 50/50 kwa hili hata yeye hawezi kirahisi tu kuvunja Bunge, though kufanya hivyo kunaweza sasa kuzaa demokrasia ya kweli maana tuna imani wapinzani wanaweza kuongeza viti hasa kwa ujio wa wale majeruhi wa kisaisa toka CCM.Msije mkamjalibu JPM alisshasena, yupotayari kulivunja bunge Mrudi kwenye Sanduku la kura, mimi nina imani JPM atarudi kwenye nafasiyake lakini kunawabunge hawatarudia.
Chin ya wabunge hawa wa CCM sahau kabisa hilo swala aiseeKama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.
Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.
Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.
Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.
Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.
Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Kwa upande Wa Cdm ndio kabisaaaaaaaaaa.....Chin ya wabunge hawa wa CCM sahau kabisa hilo swala aisee
Kweni wakitoka kuna shida?wapo watakaoweza kwenda na kasi tunayoitaka wananchi..mkeo akitoka kwako si utaoa mwingine kweni nini bhana...Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.
Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.
Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.
Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.
Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.
Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Lisemwalo lipo kama halipo lipo tuAcha kuwanenea wabunge uongo.....waache watasema wenyewe ...usiwalishe maneno
yaani wabunge wa ccm wampigie kula mwenyekiti wa chama kuwa hawana imani naye siyo au sijakuelewa. unaweza kunipa mifano ya wabunge watatu wa ccm wenye uwezo . huo mh rais anaagiza tufanye kazi tuache umbeaTULIFUNDISHWA KATIKA SOMO KA URAIA KUWA BUNGE LINA UWEZO WA KUMTOA RAIS MADARAKANI KWA KUPIGA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NAE.