Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Wadau hongereni kwa majukumu yenu ya kila siku ya kulijenga taifa letu.
Kwanza niunge mkono juhudi za serikali na wadau mbalimbali wa mazingira ktk nishati safi ya kupikia
Wakuu najiuliza majukumu ya wabunge ni yapi na je wamefanikiwa yote Hadi wapewe jukumu lingine la kugawa gesi kwa wananchi.
Ndani ya nchi yetu Kuna wadau wengi sana wa mazingira wenye elimu ya mazingira na wako kwenye nafasi nzuri zaidi ya kutoa elimu kwa jamii kwanini serikali isishirikiane nayo.
Lakini pia kwenye halmashauri zetu naamini Kuna maafisa au kamati za mazingira, kwa nini waziri asishirikiane na viongozi wa halmashauri na wadau katika ugawaji na utoaji wa elimu endelevu.
Nafikiri hata spika ameona huo ukakasi ndo maana akafununua bila kuombwa ufafanuzi tena akajibu maswali yalipaswa kujibiwa na waziri mwenye dhamana.
Bado naendelea kuangalia maamuzi mbalimbali ya mhe January Makamba kama ndani yake Kuna Nia njema
Je Waziri akikosea kesho wabunge watakua na ujasiri wa kutosha kumkosoa?
Kwanza niunge mkono juhudi za serikali na wadau mbalimbali wa mazingira ktk nishati safi ya kupikia
Wakuu najiuliza majukumu ya wabunge ni yapi na je wamefanikiwa yote Hadi wapewe jukumu lingine la kugawa gesi kwa wananchi.
Ndani ya nchi yetu Kuna wadau wengi sana wa mazingira wenye elimu ya mazingira na wako kwenye nafasi nzuri zaidi ya kutoa elimu kwa jamii kwanini serikali isishirikiane nayo.
Lakini pia kwenye halmashauri zetu naamini Kuna maafisa au kamati za mazingira, kwa nini waziri asishirikiane na viongozi wa halmashauri na wadau katika ugawaji na utoaji wa elimu endelevu.
Nafikiri hata spika ameona huo ukakasi ndo maana akafununua bila kuombwa ufafanuzi tena akajibu maswali yalipaswa kujibiwa na waziri mwenye dhamana.
Bado naendelea kuangalia maamuzi mbalimbali ya mhe January Makamba kama ndani yake Kuna Nia njema
Je Waziri akikosea kesho wabunge watakua na ujasiri wa kutosha kumkosoa?