Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu kwa mujibu wa sheria ni kuvunja kiapo walichoapa kwamba watakuwa watiifu kwa jamhuri ya muungano, kwani warioba alisimama kwa mujibu wa sheria za jm.
Kwa sasa hivi kila kitu kinachotokea ndani ya Bunge hili la Katiba ni lazima kimeandaliwa na CCM kwani kwa wingi wao Bungeni wanatumia nafasi hiyo kuharibu mchakato mzima na ninalisema hili kwa kuwa wameishafanya mikutano mingi sana ya siri hapo Dodoma tunachojiuliza ni nini hasa walichokijadili katika hivyo vikao vyao vya siri?
Kwa sasa hivi kila kitu kinachotokea ndani ya Bunge hili la Katiba ni lazima kimeandaliwa na CCM kwani kwa wingi wao Bungeni wanatumia nafasi hiyo kuharibu mchakato mzima na ninalisema hili kwa kuwa wameishafanya mikutano mingi sana ya siri hapo Dodoma tunachojiuliza ni nini hasa walichokijadili katika hivyo vikao vyao vya siri?
Hujafafanua maana waliokua wakizomea Ni wapinzani nahisi Kuna jambo wslikua wanashinikiza hasa nani aanze hotuba Rais au Warioba,hili jambo limepangwa tangu last week,tulitoa taarifa wakatupuuza
Kwa sasa hivi kila kitu kinachotokea ndani ya Bunge hili la Katiba ni lazima kimeandaliwa na CCM kwani kwa wingi wao Bungeni wanatumia nafasi hiyo kuharibu mchakato mzima na ninalisema hili kwa kuwa wameishafanya mikutano mingi sana ya siri hapo Dodoma tunachojiuliza ni nini hasa walichokijadili katika hivyo vikao vyao vya siri?
nadhai wengi wao pale bungeni watakuwa wehu.
Kama hujui kitu si bora kukaa kimya mkuu!!au kila sehemu ni propaganda!!Wabunge kumzomea m/k wa tume na kusababisha kutowasilishwa kwa rasimu kwa mujibu wa sheria ni kuvunja kiapo walichoapa kwamba watakuwa watiifu kwa jamhuri ya muungano, kwani warioba alisimama kwa mujibu wa sheria za jm.