johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wabunge kutoka Mashariki ya Kenya kwenye Wasomali wengi wamemtaka Naibu Rais Gachagua ajiuzulu
Wabunge hao wamesema Gachagua hakupaswa kumshutumu hadharani Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa taifa, Noordin Hajji
Source: Citizen Tv
Wabunge hao wamesema Gachagua hakupaswa kumshutumu hadharani Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa taifa, Noordin Hajji
Source: Citizen Tv