imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hebu nipe Darasa.Unajua Utanzania kuendana na Sheria ya Uraia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nipe Darasa.Unajua Utanzania kuendana na Sheria ya Uraia?
Wakishamalizana na Ruto wanafuata wasomaliNdani kabisa Msomali hatupendi Wabantu, na Wabantu wanabaguliwa sana ndani ya Somalia. Wasomali wenyewe wanapenda kujitambulisha kama Waarabu na sio Waafrica. Tuishi nao tu.
Mambo ni magumu sana kwa ground.Wakishamalizana na Ruto wanafuata wasomali
Maandamano yameisha angalia leo Nairobi shughuli zinaendelea kama kawaida.Wakishamalizana na Ruto wanafuata wasomali
Kwahiyo Wajaluo wanaitaka hiyo nafasi?!
Kwa nini unajiita Kakumamoto?😎Mambo ni magumu sana kwa ground.
Hiyo Nchi Kila mtu ni kambale ni ya hovyo na ndio role model ya Machadema 😆😆Wabunge kutoka Mashariki ya Kenya kwenye Wasomali wengi wamemtaka Naibu Rais Gachagua ajiuzulu
Wabunge hao wamesema Gachagua hakupaswa kumshutumu hadharani Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa taifa, Noordin Hajji
Source: Citizen Tv
Subirini hayo machafuko yageuke ukabila ndipo itakuwa mwisho wa kenya tunayoijua.Kumchukia Tajiri ni ujinga ndugu njoo na Hoja nyingine.
Msomali anateka Meli na anawekeza Kenya wewe umekalia kula Tunda kimasihara utamchukia mpaka utajifunza jinsi ya Kuloga😁
Mbona Wasomali hawana ugomvi na Nilotes labda ni ugomvi wa Biashara na Mkikuyu ambaye ni Mbantu.Ndani kabisa Msomali hatupendi Wabantu, na Wabantu wanabaguliwa sana ndani ya Somalia. Wasomali wenyewe wanapenda kujitambulisha kama Waarabu na sio Waafrica. Tuishi nao tu.
Hapo Kuna harufu ya ukabila ambao ndio Machadema wanataka kuileta Tanzania na nyie mnawachekea👇👇Wabunge kutoka Mashariki ya Kenya kwenye Wasomali wengi wamemtaka Naibu Rais Gachagua ajiuzulu
Wabunge hao wamesema Gachagua hakupaswa kumshutumu hadharani Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa taifa, Noordin Hajji
Source: Citizen Tv
Hapo Kuna harufu ya ukabila ambao ndio Machadema wanataka kuileta Tanzania na nyie mnawachekea👇👇
View: https://twitter.com/BiancaNaom1/status/1806651131201786349?t=rF2bl5kNySJWru1Pd_lwZQ&s=19
Kuhubiri Uzanzibari wa Samia eti anauza meli za TanganyikaAti Ukabila wa CHADEMA? hebu weka USHAHIDI hapa laa sivyo ni Porojo tu.
Your are all over the place, tunaposema Muungano tunaongelea mapungufu ya huu Muungano kuhusu Majimbo ha Germany ni Majimbo.Kuhubiri Uzanzibari wa Samia eti anauza meli za Tanganyika
Kusema hamtaki Muungano
Kusema mnataka Majimbo Kwa msingi wa makabila
Na siasa za kijinga kama hizo
Mapungufu ya Muungano yanaongelewa Kwa kueneza ukabila ?Your are all over the place, tunaposema Muungano tunaongelea mapungufu ya huu Muungano kuhusu Majimbo ha Germany ni Majimbo.
We Jamaa ni zaidi ya CHAWA wewe ni Virus.
We Jamaa mgumu sana kuelewa au Bahasha ya Lumumba ndio inayo ongea?!Mapungufu ya Muungano yanaongelewa Kwa kueneza ukabila ?
Wasomali Kenya wana mali kabla ya Uhuru.Wakikuyu hawana kitu siku hizi ni wasomali,wahindi and foreigners ndio matajari hapo kenya
Nyie ma looser mtaendelea kukataliwa hivyo hivyoWe Jamaa mgumu sana kuelewa au Bahasha ya Lumumba ndio inayo ongea?!
Wewe ndio maana huwa unatukanywa na Vijana humu kwasababu unaongea RubbishNyie ma looser mtaendelea kukataliwa hivyo hivyo
Ubaguzi wa kikanda,kikabila na rangi ukishakataliwa hapa Tanzania,Sasa sijui punguani gani watawachagua.Wewe ndio maana huwa unatukanywa na Vijana humu kwasababu unaongea Rubbish