Kwanini Mama yako anaogopa TUME HURU?!Ubaguzi wa kikanda,kikabila na rangi ukishakataliwa hapa Tanzania,Sasa sijui punguani gani watawachagua.
Nimeona Watu wa Eldoret na Pwani wamesimama na Nurdin Haji dhidi ya Majungu ya Gachagua.Hivi utaacha kuwa mpotoshaji wa habari lini?
Gavana wa sasa wa Mombasa na aliye maliza muda wake, hao ni wasomali?.
Ni lazima iwe usomali na siyo sifa nyingine?
Kwani yeye ndio anaamua mambo ya Tume huru?Kwanini Mama yako anaogopa TUME HURU?!
Lakini Eldoret hakuna 'wasomali', kwa hiyo kutakuwa kuna sababu zaidi ya usomali wa huyo mhusika.Nimeona Watu wa Eldoret na Pwani wamesimama na Nurdin Haji dhidi ya Majungu ya Gachagua.
Eldoret ni NilotesLakini Eldoret hakuna 'wasomali', kwa hiyo kutakuwa kuna sababu zaidi ya usomali wa huyo mhusika.
Mnatuona Watanzania Wajinga?!Kwani yeye ndio anaamua mambo ya Tume huru?
Nazungumza ndani ya Somalia kwenyewe, hata huko nyumbani bongo(Tz) wasomali wapo na ni marafiki.Mbona Wasomali hawana ugomvi na Nilotes labda ni ugomvi wa Biashara na Mkikuyu ambaye ni Mbantu.
Hayo ndo mazuri ya Katiba ya Kenya. Huwezi kumfuta kazi hata Spika wa Bunge.Na uzuri/ubaya, Ruto hawezi kumfuta kazi huyo jamaa; kama Kenyatta alivyoshindwa kumfuta kazi Ruto enzi zile!
Tuongelee Wasomali wa Kenya.Nazungumza ndani ya Somalia kwenyewe, hata huko nyumbani bongo(Tz) wasomali wapo na ni marafiki.