comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Kwa akili yako na dhana ya kuwa nchi hii ni ya wakulima na wafanyakazi - hili tabaka la matajiri umelitoa wapi? Unaongelea nchi hii au kule ulikotoka wewe na ndugu zako?Nchi yetu ni ya wakulima na wafanyakazi,
Hao ndio wengi,
Nijibu wafanyabiashara wakubwa na matajiri, bungeni wanasimamia Maslahi ya nani?
Karibu ndugu comte