Sheria zao ni Kali,Fuatiliq jinsi maseneta wa Marekani walivyo matajiri na wanavyofaidika na inside trading wakiwa bado wabunge.
Hata zamani maseneta wa Rome hawakuruhusiwa kufanya biashara. Lakini ndiyo walikuwa matajiri na wenye kunufaika na vyeo vyao hivyo.Sheria zao ni Kali,
Hukatazwi kuwa mfanyi biashara, bt kutumia uongozi kutafuta personal gains Sheria zao ziko tight sana.
Trump tumeona akibanwa na analipa Kodi,
Vp huku kwetu?
Kuingia bungeni hao wafanyabiashara huweka Ubunge kama ndo bima yao ya maisha.Salaam,Shalom!!
Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi mkubwa serikalini na kutupwa mbali.
Kuwa tajiri Kwa halali Si DHAMBI, Hilo liwekwe wazi. Na mada Haina Chuki na matajiri wa halali wenye uchungu na Umaskini wa wananchi.
Wananchi tunajiuluza hivi ;
1. Mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?
2. Mmiliki wa mabasi zaidi ya 50 Nchi nzima, anafuata nini bungeni? Na ikiwa anatetea maslah ya Wananchi, mbona nauli hazishuki?
3. Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao wa UMEME utakuja kuisha Kweli?
4. Tukichunguza Kwa makini, waagizaji wakubwa wa MAFUTA, SUKARI nk nk wamo bungeni, najiuliza ipo siku SUKARI itashuka Bei, au MAFUTA yatakuja kushuka Bei Kweli? Tufanye nini Ili kupata watetezi wa Maslahi ya wananchi wa Kweli?
5. Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?
Ikiwa wabunge wanaomiliki vituo vya mafuta Nchi nzima Wana mapenzi ya dhati, kwanini wasishirikiane kujipunguzia faida kidogo Ili mafuta yashuke Bei Ili sie wapiga kura tufurahie?
Yaani saiz sukari inauzwa 5000, kwanini wabunge matajiri wasipambane kuhakikisha tunanunua SUKARI Kwa Bei ya 2,000 per kg ikiwa Kweli wanasimamia Maslahi ya maskini?
Karibuni π
Ndo tunajiuluza, ikiwa hizo Sheria zipo vizuri,Hata zamani maseneta wa Rome hawakuruhusiwa kufanya biashara. Lakini ndiyo walikuwa matajiri na wenye kunufaika na vyeo vyao hivyo.
Hizo sheria hata kwetu zipo za kutotumia cheo kujinufaisha zipo.
Ubunge unakuwaje bima ya maisha ya Wabunge matajiri Wafanyabiashara?Kuingia bungeni hao wafanyabiashara huweka Ubunge kama ndo bima yao ya maisha.
Nafikiri utaelewa.
Ni kweli, hiyo huwasaidia khasa kufanya lobbying na kutafuta business opportunties.Ukiwa mbunge nchi masikini halafu una hela basi ujue unatafuta fursa za kujuana na mawaziri wa kila wizara unayotaka kufanya biashara
Utapata Tenda za kila aina na kwa marejesho unampa waziri % katika biashara zako au na yeye anazungusha hela chafu humo humo
Kuwa mbunge Nigeria au popote ni fursa ambazo sio halali kabisa
Ndio maana corruption haziishi Africa
Kuna kitu chaitwa Collateral wakifahamu hichi?Ubunge unakuwaje bima ya maisha ya Wabunge matajiri Wafanyabiashara?
If that is the case,"Siasa Hulinda utajiri" Mwisho wa Kumnukuu Daniel Arap Moi Rais wa Pili wa Kenya
Kuwakataa ni vigumu kwani wengi wao ndo wachangiaji wakubwa au donors wa chama kinotawala.If that is the case,
Wananchi tuwakatae matajiri na Wafanyabiashara wanataka nafasi za kisiasa wasiosimamia maslah ya wananchi.
Ikiwa wamo bungeni, tuhakikishe hawarudi bungeni 2025.
Ikiwa wameteka chama tawala,Kuwakataa ni vigumu kwani wengi wao ndo wachangiaji wakubwa au donors wa chama kinotawala.
Hilo halina shida lakini je, mazingira yaruhusu na wapiga kura wana nia ya kweli ya kuchagua wapinzani?Ikiwa wameteka chama tawala,
Tuchague upinzani.
Haswa, hii ni kila mahali na kama ulivyosema kwa wenzetu wanajilinda sana na wanaangalia maendeleo ya majimbo yaoNi kweli, hiyo huwasaidia khasa kufanya lobbying na kutafuta business opportunties.
Na si Tanzania tu huo ndo mfumo wa dunia ulivyo mwenye pesa hutamba.
Lakini wenzetu huweka maslahi ya majimbo yao kwanza huku wakiendelea na biashara zao.
Ila wengi ni wabunge wa kawaida sana na ndo wale ambao huwa na second jobs au second home kupata kipato cha kujiongeza.
Wabunge kama Msukuma au Bashe na wengine si wana biashara zao ambazo hazilingani na biashara za yule mbunge mwarabu mwenye mabasi lukuki?
Lakini wote hukimbilia kuwa wabunge kujilinda.
Nia IPO kabisa.Hilo halina shida lakini je, mazingira yaruhusu na wapiga kura wana nia ya kweli ya kuchagua wapinzani?
Tajiri kuwa mbunge si tatizo,Maslahi ya wote! π
Ila umaskini siyo mzuri hata kdg, kwa hiyo km tajiri anaweza kuwa kiongozi mzuri naona ni ahueni ili asaidie jamii.
Pia unatakiwa ujue kuwa,Maslahi ya wote! π
Ila umaskini siyo mzuri hata kdg, kwa hiyo km tajiri anaweza kuwa kiongozi mzuri naona ni ahueni ili asaidie jamii.
Uko sawa lakini je, wananchi ni waelewa?Pia unatakiwa ujue kuwa,
Mbunge tajiri na mfanyabiashara, Huwa hatumii pesa yake mfukoni kujenga shule au kujenga hospitali au kununua madawa,
Pesa inayotumika ni pesa ya Kodi zetu,
Hivyo wananchi tuchague viongozi Bora , brains, bila kujali viwango vyao vya pesa.
Uzalendo , uadilifu ziwe sifa mojawapo katika kuwapima viongozi.
Wananchi ni waelewa,Uko sawa lakini je, wananchi ni waelewa?
Na kama ni waelewa basi mwaka 2025 uwe mwaka wao wa kuonyesha ukomavu wa kiakili kufanya maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura.