Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Binadamu hawakatazwi kufanya Ngono ila hiyo Ngono ikifanyika bila Staha na Wahusika kutokuwa na Maadili na Kujiheshimu ni Ujinga uliokomaa.
 
Aseeeeh hatareeeh sanaah
 
Sijui kama ni umalaya au basi tu! Women power is on how many times have you remarried! Kwa ujumla ni udhifu wa 'thinking' kwa wote wawili maana tusimshambulie Matiko tu. Huyo partner wake zinamtosha? Ndo uone walioko kwenye politics ni watu wa aina gani. Hakuna wanachofanya kwa umakini. Ku-sex siyo vibaya lakini kwa mtu mwenye akili nzuri, umakini unahitajika.
Na tusiseme ni uongo, mbona wamei block twitter?
 
Kama ni zile za 'porn master' a.k.a 'mzee wa upakwa' bado alikuwa sio mbunge. Alikuwa anatafuna kondoo zake.
 
Ilishasemwa na rais mstaafu kuw kuna chama cha siasa ni wataalamu wa uongo na wana kiwanda cha kufyatua uongo! Mleta mada na wenzake wananielewa!
 
Hiyo video umeiona ????
Una uthibitisho

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…