Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Umeuliza jambo la maana sana lakini binafsi sitatoa jibu la moja kwa moja ila tunatakiwa tutafakari kwa pamoja.

Umetumia neno "faragha" au kwa kiingereza "privacy" na hapa ndipo msingi wa majadiliano yangu...
Pamoja na yote uliyosema swali langu ni kwa nini upige picha? Umekosa kazi hapo chumbani?
 
Matiko ni malaya. Alijitongozesha kwa prof mzee pale UDSM akamuoa na akamtafutia kazi pale UD kama assistant lecturer. Matiko alivyopata Ubunge akamtema prof babu wa watu na kwenda kwa yule somebody Mwalimu .Ila hii ya connection nayo inashangaza endapo ni kweli. !
Huo sio umalaya bhana, Sasa kama Babu alikuwa hamkazi ulitegemea afanyaje?

Huko ni kujiongeza tu.
 
Umeiona mzee
Ntupie na mimi basi

Ova
Mkuu na wewe pia unataka kusombwa na huu upepo wa kiboya?Usiniangushe boss...hakuna kitu kama hicho.Ni watu wameamua kutengeneza theory ili kumchafua Esta.Kila anayesema ameiona ni muongo

Inasikitisha kuona watu wanafikiria,wanapanga na kutekeleza mkakati wa uzushi ili kumshusha na kumuaibisha mwingine.Inasikitisha zaidi kama jambo hilo linafanywa na taasisi iliyoacha malengo yaliyoitambulisha na kuipa credibility mbele ya jamii na kujishusha levo ya chini kiasi hicho!!

Hakuna tena hoja chadema.Hakuna masuala.Kuna viroja na matukio
 
Napenda tujielimishe; Mbunge anaweza chukuliwa hatua ikithibitika amerekodi au kurekodiwa akiwa anafanya mapenzi?
Atapelekewa mahakamani kwa kukikuka sheria ya habari ya kielkroniki,na Sheria ya mtandao,Kama akipatikana na hatia na kufungwa zaidi ya miezi sita,ubunge wake utapotea,kinyume na hapo huyo tunae mpaka afe
 
Back
Top Bottom