Wabunge/ Mbunge akijirekodi faragha anaweza kupoteza Ubunge wake?

Kama simu za watu zilirekodiwa na sauti zao kuwekwa hadharani tena viongozi wakubwa kabisa itakuwa hizo.
 
Heeeh kumekucha sas lol, mwageni mchele sie tudonoe.
 
Tunaogopa kuwatumia wengine ma Mwela tu humu kibao
 
Wapo wamejirekodi
Kuna wabunge ambao wamewatengenezea video ya ngono sasa wanataka kuwalipua!!!! Hizi video za kuumba kama hatutakuwa makini watu wengi wataumizwa!!! Kwenye jamii ambayo haijaelimika na hivyo kuamini kila kitu kiwekwacho kwenye mitandao bila kuchunguzwa hii italeta hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…