Mkuu hakuna mkate mgumu mbele ya chai,maana hata yule mtukufu wa America ya ziwa Mgharibi anavyo hangaika na vyuma vyeupeeeeAeshi ana bonge ya mke, chotara fulani hivi ila bado anahangaika na manung'ayembe!!! So sad.
Makonda alikuwa sahihi kumpiga stop kukanyaga Dar huyu mzinzi!
Hauogopi kupofuka?Plz naomba ntumie PM.
Wale wana covid ~19 kumbe walikuwa wanaheshimika na kuonekana waungwana wakiwa ndani ya cdm tu.hebu mwageni mchele kwenye kuku wengi
Chezea mtoto wa TariimeeeEster anakata nyie Duh!...
Hata kama ni za kuumba au kubumba vyote sawa maana hawana faida kwetu sisi.Kuna wabunge ambayo wamewatengenezea video ya ngono sasa wanataka kuwalipua!!!! Hizi video za kuumba kama hatutakuwa makini watu wengi wataumizwa!!!
Sipofuki bhanaah, plz ntumie nsafishe macho.Hauogopi kupofuka?
Naomba unitumie hiyo vedeo pm ChifuEster anakata nyie Duh!...
Hivi karibuni kumekuwepo na tabia ya Mambo ya chumbani kurekodiwa na kutupwa mitandaoni.
Vitendo hivi kwa kiasi kikubwa vinapofanywa na watu wenye nyadhifa za kidini na kisiasa hakuna hatua huchukuliwa ila anapofanya mtumishi mwajiriwa wa Umma au hata sekta binafsi polisi hupeleleza mara moja na kuwafikisha mahakamani.
Wanapofanya wasanii hivyohivyo, Je kama ni jinai kwanini inachagua makundi ya kuchukuliwa hatua?
Wanawake wanaochipukia na kujiimarisha kwenye jamii wamekuwa wahanga pia katika ukatili huu wa kidhalilishaji.
Napenda tujielimishe; Mbunge anaweza chukuliwa hatua ikithibitika amerekodi au kurekodiwa akiwa anafanya mapenzi?
Zikikupanda jeSipofuki bhanaah, plz ntumie nsafishe macho.
THREAD yako inaleta maswali sana
Kwanini uulize kwa mbunge peke ake?
Au wewe ni mbunge uliefanya huo msala? Uko unataka kujua hatima yako?
Au Kuna video huko ya mbunge umeshaipata? Unauliza kabla hujamlipua?
Au unamzungumzia Mbunge Rashid?
Unaweza mtamania MTU mabaya?Sijaelewa mkuu, wamejirekodi au unatamani warekodiwe?!
Ester anakata nyie Duh!...
Bado kidogo aliwe kisusio
Nasikia patna wake ana kiba100Chezea mtoto wa Tariimeee