Pre GE2025 Wabunge mliopata ubunge kwa nguvu ya Hayati Magufuli tafuteni kazi nyingine mapema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watapata tena Kwa Nguvu ya Dr Samia
 
Kuanzia juu mpaka chini au wa chini pekee?
 
Tuanzie Gwajima na Kitila (alilazimiahiwa Ubungo wasigongane na Mwigulu Unyerambani)
 
Huyo mwana FA kwa namna anavopambana kuhakikisha anarudi, kazi ipo ! Mixer na uchawa kwa mama🤣🤣🤣namuona FA akirudi bungeni muhula wa pili
Jimbo lake lina mbabe na alshinda wakampiga kikono😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…