mwalisi
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 651
- 561
yule inatakiwa jimbo lake asimamishwe kijana alie toka chuo akamuelimisheNa Yule aliesema wanachuo wasipewe mikopo eti wanaitumia kwenye ulevi😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yule inatakiwa jimbo lake asimamishwe kijana alie toka chuo akamuelimisheNa Yule aliesema wanachuo wasipewe mikopo eti wanaitumia kwenye ulevi😀😀
alipewa kazi serikalini akashindwa Lakini 🐒Pale Morogoro (kusini nadhani) aliporwa Omar Mgumba akapewa Taletale. Omar ni mtu mmoja poa sana. Hakika atarudi jimboni kama mbunge. Hili namuombea🤲🤲
Huyu atakua hata haelewi kwa nini wanafunzi wapewe mikopo. Yeye anachojua tu ubunge ni pesa na uwezo kujifanyia mambo yako.Na Yule aliesema wanachuo wasipewe mikopo eti wanaitumia kwenye ulevi😀😀
Yupo humu nampiga spana muda si mrefuHuyu atakua hata haelewi kwa nini wanafunzi wapewe mikopo. Yeye anachojua tu ubunge ni pesa na uwezo kujifanyia mambo yako.
Hiyo utajua ww.kwenye ule wa Chadema majuzi ulikua wanja wa malalamiko na kumwaga mipesa right 🐒
Jidanganye mkuu....kuna Yule bwana mdogo pale wilaya ya bukoba mjini somebody Steven byabato 😀😀😀inaweza kua kwa wabunge wengineo lakini sio kwa uliowataja....
for ur informatio ns,
uliowataja watarejea mjengoni bila tashwishwi yoyote na kwa uhakika zaid kuliko mbunge mwingine yeyote,
unless utumie chuki binafsi kuonyesha mapungufu yao mtandaoni ambayo pia hayatadhoofisha wa kufifisha nguvu za kisiasa walizonazo kutokana na kazi kubwa walizofanya majimboni mwao kwa wanainchi wanao wawakilisha....
ni kuhakikishie tu,
majimboni mwao, hawa waungwana ni miongoni mwa very influencial and very powerful politicians dhidi ya yeyote yule atakaejitokeza kuwapa changamoto kwenye uchaguzi wowote ujao, na ni vigumu mno kuwashinda 🐒
mie sijidanganyi na wala sina haja kumdanganya mtu yeyote wa watu katika masuala ya kitaalamu katika siasa, nachoweza sema ndio ukweli wenyewe tu 🐒Jidanganye mkuu....kuna Yule bwana mdogo pale wilaya ya bukoba mjini somebody Steven byabato 😀😀😀
Hakuna kitu najua kabisa Na wajumbe wake wa kashai Na buyekeramie sijidanganyi na wala sina haja kumdanganya mtu yeyote wa watu katika masuala ya kitaalamu katika siasa, nachoweza sema ndio ukweli wenyewe tu 🐒
uliemtaja
alikata tamaa mwanzoni kwamba haitawezekana kutetea kiti chake, but comeback yake kwenye public domain and heart pale jimboni pake ni very vibrant na very powerful, akiendelea kama anavyokwenda sasa anaweza kufanikiwa kutetea kiti chake vizur tu 🐒
this time inwezakua ni wanachama wote kuhusika kumteu mgombea udiwani na ubunge katika jimno mahaliaHakuna kitu najua kabisa Na wajumbe wake wa kashai Na buyekera

this time inwezakua ni wanachama wote kuhusika kumteu mgombea udiwani na ubunge katika jimno mahalia
Hawakuupata kwa nguvu ya Magufuli bali kwa wizi wa kura uliosimamiwa na Magufuli na samiaMwendazake aliitumia vizuri nguvu yake ya uongozi kuwapa watu ubunge wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Mfano Khamis Taletale au Babu Tale, mbunge wa Sengerema Khamisi Tabasamu na wengine wote wenye uwezo mdogo wa kutengeneza hoja ninawashauri tu watafute kazi nyingine za kufanya kwa sababu 2025 ni pagumu sana watakaopita watakuwa ni wachache sana au wasipite kabisa.
Sidhani kama alishindwa. Pia ubunge na uteuzi bila shaka kuna tofauti hapo. Huyu Mgumba baada ya kufanyiwa figisu jimboni ndio wakampa ukuu wa mkoa. Pengine kazi za kiteuzi nazo zina figisu zake.alipewa kazi serikalini akashindwa Lakini 🐒
then he is not qualified to be a leader, ccm siku zote inawapa nafasi watu makini na wenye uwezo, tutaona itakuajeSidhani kama alishindwa. Pia ubunge na uteuzi bila shaka kuna tofauti hapo. Huyu Mgumba baada ya kufanyiwa figisu jimboni ndio wakampa ukuu wa mkoa. Pengine kazi za kiteuzi nazo zina figisu zake.

Babu Tale au? Hivi uko serious kweli?inaweza kua kwa wabunge wengineo lakini sio kwa uliowataja....
for ur informations,
uliowataja watarejea mjengoni bila tashwishwi yoyote na kwa uhakika zaid kuliko mbunge mwingine yeyote,
unless utumie chuki binafsi kuonyesha mapungufu yao mtandaoni ambayo pia hayatadhoofisha wa kufifisha nguvu za kisiasa walizonazo kutokana na kazi kubwa walizofanya majimboni mwao kwa wanainchi wanao wawakilisha....
ni kuhakikishie tu,
majimboni mwao, hawa waungwana ni miongoni mwa very influencial and very powerful politicians dhidi ya yeyote yule atakaejitokeza kuwapa changamoto kwenye uchaguzi wowote ujao, na ni vigumu mno kuwashinda 🐒
that is the truthBabu Tale au? Hivi uko serious kweli?

Jimbo analotoka kuna wajuaji wengi wanaojua kuuza maneno.Fa ana asilimia 60 za kurudi..ana jitahidi sana kutokuwakwaza kuongea pumba Na kujifanya mjuaji
Kweli wapo wenye uwezo ila wakishaingia huko wanaweka kando uwezothen he is not qualified to be a leader, ccm siku zote inawapa nafasi watu makini na wenye uwezo, tutaona itakuaje![]()