Wabunge mliopiga Makofi na Watendaji wa Spika nani Kawadanganya kuwa Mgeni Manara ni Msemaji wa Yanga SC?

Wabunge mliopiga Makofi na Watendaji wa Spika nani Kawadanganya kuwa Mgeni Manara ni Msemaji wa Yanga SC?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilikuwa nakataa kuwa Bunge la sasa limejaa Wabunge dhaifu (ukiwaondoa tu wale wasio Mashabiki wa Yanga SC) ila kwa Upuuzi (Udhaifu) uliotokea leo Bungeni nimekubali na Mimi sasa naanza Kuwadharau.

Spika tafadhali ajiri Watu makini hapo Ofisini Kwako na hapo Bungeni ndani ili wasije Kujiaibisha Kwetu Werevu (Mashabiki wa Simba SC) kama walivyofanya huku Wakisapotiwa na Wabunge Mashabiki wa Yanga SC.

Leo Mtendaji (Mwenyekiti) wa Bunge alimtambulisha Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara kama Msemaji wa Yanga SC wakati mpaka sasa Yanga SC haina Msemaji na wala Haji Manara siyo Msemaji wake (wao) na hata GSM hawajamuajiri kwa hiyo Nafasi.

Hivi nyie Wabunge wa Yanga SC mliokuwa mkimshangilia Haji Manara Bungeni alipotambulishwa na huyo Mwenyekiti (Mtendaji) wa Bunge mna uhakika kuwa Haji Manara ndiyo Msemaji wa Yanga SC? Angekuwa Msemaji wao Yanga SC hivi sasa wangekuwa Wanahangaika kumtafuta Msemaji wao?

Hovyo kabisa nyie!
 
Ndugu yangu siku hizi umebadilika? Yaani ukapoteza muda kabisa kutune channel inayoonesha Bunge? Bunge hilihili Spika Tulia Waziri wa njuruku Madelu? Duh! Mungu anisamehe.
 
Kila jambo linalohusu yanga ni lazima lifunguliwe Uzi?
 
Sasa hilo ndo limekuuma. Mbona unajipa stress kwa kitu kisicho cha lazima mzee. [emoji1787][emoji1787]
Sina shaka nawe ni mmoja wa wale HAMNAZO, aliowasema Haji Manara wakati uleeeee, akihojiwa na Salama Jabir. Bunge, ni sehemu ya kutunga sheria. Adhabu aliyoipata huyo Haji, wasipoitambua hao watunga sheria, hakuna mwenye akili timamu ataacha kuwashangaa, na kuwadharau!
 
Back
Top Bottom