NestoryJ
Senior Member
- Jun 3, 2017
- 117
- 132
Kwa uhuru kabisa anakwambia yeye mpaka anaingia bungeni katumia 72m lakini kunawengine wapo wametumia mpaka 600m [emoji846][emoji846][emoji846].Hawa Wabunge wengepewa Toyota Corrola na la pili unapewa mwaka mmoja kama hudilivery katika jimbo lako unafukuzwa kutokana na ahadi ulizotoa nafikiri jeuri ingewatoka wanatakiwa watiwe pressure ya hali ya juu .Unajua kwenye Bunge kuna pesa ndio maana kila mtu anapigania kuwa mbunge plus hakuna kazi yyote ni sehemu ya starehe na kuparty tu .
Nilivyomsoma anataka 72m zake zirudi na faida juu as if kapanda shamba anategemea mavuno na faida wakati aliapa kuwa anakwenda kuwatumikia wananchi as long as kazi ni ya hasara au faida.
Binafsi sijawahi kuona mtu anaomba kufanya kazi, anakuta haimlipi au haimpi hitaji lake anaendelea kubaki hapohapo wakati anajitanabaisha kuwa ananyenzo nyengine zinazomuingizia kipato.
Kweli Tanzania tunasafari ndefu na wabunge wa aina hii.!!
Ndio maana hata sikushangaa SUGU alivyoimba kwenye wimbo wake ule wa freedom yuko na Mr Blue anasema kila siku kwenye account yake akiangalia kunamamilioni