Wabunge unganisheni nguvu muitake Serikali iwasilishe Bungeni mchanganuo wa fedha ilizokopa nje

Wabunge unganisheni nguvu muitake Serikali iwasilishe Bungeni mchanganuo wa fedha ilizokopa nje

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
HILI suala la mikopo tusipoliangalia litugawa kama Taifa, alianza Ndugai tukaona ni utani akapoteza nafasi ya Uspika, akaja kulizungumzia bungeni Luhaga Mpina naye akapoteza nafasi ya kuteuliwa kugombea nafasi ya NEC aliyoomba kupitia CCM.

Akazungumza tena bungeni Oran Njeza Mbunge wa Mbeya Vijiji naye hatujui nini kitamkuta, Mbunge wa Viti Maalum Hawa Mchafu anaye alizungumzia, majuzi kalizungumzia Gerald Hando naye anasakamwa mitandaoni.
Leo Mbunge Mariam Ditopile naye amelizungumzia ila kwa upande wa kutetea kwamba halina madhara na miradi inatekelezwa.

Ushauri kwa wabunge Bunge lijalo la Januari 2023 muunganishe nguvu za pamoja kuitaka Serikali iwasilishe taarifa bungeni ya mikopo yote iliyopokelewa mwaka 2022 na miradi iliyokwenda kutekeleza kwa mchanganuo mahususi ya kila mradi ili kuondoa sintofahamu inayoendelea kwenye taifa kuhusu mikopo.


 
Unamaanisha hawa wabunge waliopita bila kupingwa au kuna wabunge wengine unaotaka waungane kutaka huo mchakato?
 
HILI suala la mikopo tusipoliangalia litugawa kama Taifa, alianza Ndugai tukaona ni utani akapoteza nafasi ya Uspika, akaja kulizungumzia bungeni Luhaga Mpina naye akapoteza nafasi ya kuteuliwa kugombea nafasi ya NEC aliyoomba kupitia CCM.

Akazungumza tena bungeni Oran Njeza Mbunge wa Mbeya Vijiji naye hatujui nini kitamkuta, Mbunge wa Viti Maalum Hawa Mchafu anaye alizungumzia, majuzi kalizungumzia Gerald Hando naye anasakamwa mitandaoni.
Leo Mbunge Mariam Ditopile naye amelizungumzia ila kwa upande wa kutetea kwamba halina madhara na miradi inatekelezwa.
Wana network kubwa nyuma yao inatafuna kamba kidogokidogo
 
Kauli ya serikali ni hakuna mtanzania yeyote atakaye lipishwa deni la mkopo wa serikali.
 
Wabunge gani unawaongelea? Hawa hawa walamba viatu wanaopiga magoti kushukuru kwa kujengewa barabara?
 
HILI suala la mikopo tusipoliangalia litugawa kama Taifa, alianza Ndugai tukaona ni utani akapoteza nafasi ya Uspika, akaja kulizungumzia bungeni Luhaga Mpina naye akapoteza nafasi ya kuteuliwa kugombea nafasi ya NEC aliyoomba kupitia CCM.

Akazungumza tena bungeni Oran Njeza Mbunge wa Mbeya Vijiji naye hatujui nini kitamkuta, Mbunge wa Viti Maalum Hawa Mchafu anaye alizungumzia, majuzi kalizungumzia Gerald Hando naye anasakamwa mitandaoni.
Leo Mbunge Mariam Ditopile naye amelizungumzia ila kwa upande wa kutetea kwamba halina madhara na miradi inatekelezwa.

Ushauri kwa wabunge Bunge lijalo la Januari 2023 muunganishe nguvu za pamoja kuitaka Serikali iwasilishe taarifa bungeni ya mikopo yote iliyopokelewa mwaka 2022 na miradi iliyokwenda kutekeleza kwa mchanganuo mahususi ya kila mradi ili kuondoa sintofahamu inayoendelea kwenye taifa kuhusu mikopo.



Bunge halina impact yoyote na huo ndio ukweriii!! Mabunge kabla ya uchafuz wa 2020 yalikua na ambayo kila mtu aliona!!
 
Sikuhizi zitokabwe amekuwa kimya Sana juu ya agenda ya ongezeko la deni.Wakati WA magufuri walikuwa wakali kweli..sasa dada yao ndani ya miaka 2amezidi miaka SITA ya magufuri
 
HILI suala la mikopo tusipoliangalia litugawa kama Taifa, alianza Ndugai tukaona ni utani akapoteza nafasi ya Uspika, akaja kulizungumzia bungeni Luhaga Mpina naye akapoteza nafasi ya kuteuliwa kugombea nafasi ya NEC aliyoomba kupitia CCM.

Akazungumza tena bungeni Oran Njeza Mbunge wa Mbeya Vijiji naye hatujui nini kitamkuta, Mbunge wa Viti Maalum Hawa Mchafu anaye alizungumzia, majuzi kalizungumzia Gerald Hando naye anasakamwa mitandaoni.
Leo Mbunge Mariam Ditopile naye amelizungumzia ila kwa upande wa kutetea kwamba halina madhara na miradi inatekelezwa.

Ushauri kwa wabunge Bunge lijalo la Januari 2023 muunganishe nguvu za pamoja kuitaka Serikali iwasilishe taarifa bungeni ya mikopo yote iliyopokelewa mwaka 2022 na miradi iliyokwenda kutekeleza kwa mchanganuo mahususi ya kila mradi ili kuondoa sintofahamu inayoendelea kwenye taifa kuhusu mikopo.




Wabunge walioko bungeni kwa uchaguzi wa kishenzi hawana ubavu wa kuhoji lolote la maana.
 
Unakuwa kama siasa za Tanzania huzijui!

Wabunge wa CCM wako mjengoni kwa hisani ya CCM, unadhani wanaweza kudhubutu kupinga au kuhoji serikali ya mwenyekiti wao?

Kama kiongozi wao Ndugai alilazimika kujiuzulu baada ya kuanza kuhojihoji.... unadhani wao watajaribu?
 
Back
Top Bottom