Wabunge wa Bunge la Tanzania wasiojua kingereza, walifanyaje uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika mashariki waliosailiwa kwa lugha ya kingereza?

Wabunge wa Bunge la Tanzania wasiojua kingereza, walifanyaje uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika mashariki waliosailiwa kwa lugha ya kingereza?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kuna mahali naona hapako sawa, ili uwe mbunge Tanzania ni kujua kusoma na kuandika, kwa maana kwamba hata darasa la nne anaweza kuwa mbunge, na pengine hata kingereza akawa hajui, inakuwaje anamsikiliza mtahiniwa/msailiwa kwa lugha ya kingereza wakati yeye haijui?halafu baada ya hapo anapiga kura? Anakuwa ameelewa mgombea kaongea nini?
 
Kuna mahali naona hapako sawa, ili uwe mbunge Tanzania ni kujua kusoma na kuandika, kwa maana kwamba hata darasa la nne anaweza kuwa mbunge, na pengine hata kingereza akawa hajui, inakuwaje anamsikiliza mtahiniwa/msailiwa kwa lugha ya kingereza wakati yeye haijui?halafu baada ya hapo anapiga kura? Anakuwa ameelewa mgombea kaongea nini?
Hilo wala siyo ajabu, ajabu ni miswada ya sheria inapelekwa bungeni ikiwa ya lugha ya Kingereza, hapo ndio kuna hoja ya msingi.
 
Kuna mahali naona hapako sawa, ili uwe mbunge Tanzania ni kujua kusoma na kuandika, kwa maana kwamba hata darasa la nne anaweza kuwa mbunge, na pengine hata kingereza akawa hajui, inakuwaje anamsikiliza mtahiniwa/msailiwa kwa lugha ya kingereza wakati yeye haijui?halafu baada ya hapo anapiga kura? Anakuwa ameelewa mgombea kaongea nini?
Only in Tanzania.
 
Hilo wala siyo ajabu, ajabu ni miswada ya sheria inapelekwa bungeni ikiwa ya lugha ya Kingereza, hapo ndio kuna hoja ya msingi.

🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
Hii nchi kuna wakati inatia hasira sana na kuna kiongozi mkubwa alisema tukiweka vigezo vikubwa tutawatenga watu walioishia darasa la saba maana na wao wanastahili kuongoza nchi yao
 
20220918_090217.jpg
 
Hilo wala siyo ajabu, ajabu ni miswada ya sheria inapelekwa bungeni ikiwa ya lugha ya Kingereza, hapo ndio kuna hoja ya msingi.
Yaani mwalimu asiyejua kingereza, anapewa mtihani wa kingereza asahihishe
 
Back
Top Bottom