Wabunge wa CCM kuna wakati wanachekesha sana, Hamis Taletale atoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi

Wabunge wa CCM kuna wakati wanachekesha sana, Hamis Taletale atoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi

Huyu Mh.ana akili sana ameenda shule ya msingi kwa sababu anajua mahitaji ni kidogo
 
Bila Camera hizo vitu zisingetoka ?

Huu ni muendelezo wa kuuza Sura tu..., by the way wangeleta policy za maana za kuwanufaisha wazazi wao kwa kipato (ukizingatia tunaambiwa kila siku hii nchi ni tajiri)..., wala kungekuwa hakuna haka ya kutoa misaada bali wangejitosheleza kujinunulia wenyewe...

Ila ndio hivyo tena taifa la misaada na omba omba... na muendelezo wa mabwana na watwana...
 
Umasikini uliotopea uliosababishwa na CCM ndio unakufanya umuone huyo Take anachekesha, afadhali yeye kaamua kuwasitiri hao watoto, wengine huwa wanashindwa kwenda shule huo wakati wao ukifika.
Ukiona binti wa kike anasema hajaensa shule kisa kakosa pedi charaza mboko...muongo huyo anatafuta sababu..ss enzi zetu je wangekuwepo ingekuwaje? Na hakukua na mtu alobak domitory kisa anableed
 
Mbona ni jambo la kawaida sana ambalo hufanyika hata kwenye nchi zingine...
 
Ni wangapi wana uwezo wa kuipata hiyo 1500?
Sasa je na wale wa way back 2000's walikua wanahandle vip situation? Mnadanganywa tu...vitoto vinanunua calorite anashindwaje pedj za 1500/2000 pm?
 
Umasikini uliotopea uliosababishwa na CCM ndio unakufanya umuone huyo Take anachekesha, afadhali yeye kaamua kuwasitiri hao watoto, wengine huwa wanashindwa kwenda shule huo wakati wao ukifika.
Huduma hiyo ingekuwa ni sehemu ya mahitaji kwa mwanafunzi kama ilivyo chakula
 
hv unayajua maisha ya kijijini ndugu yangu? hiyo 1500 kila mwezi mzazi anaitoa wapi ya kumpa mtoto akanunue pedi? wasichana wa vijijini wanatumia vipande vya vitambaa tu, so kwa mtazamo wangu Tale amefanya jambo jema sana kwa hao mabinti hasa kwa kuwa ameahidi kitakuwa kitu endelevu kila baada ya miezi 6

Hata mm nimesoma vijijini interior kbs...lakini hao hao mnaowatetea wananunua wanja pico,carolite hizo hela wanapata wapi? Enzi unasoma ww uliwah kuona kuna wanafunzi hawaend shule kisa yuko mp amekosa "madaso"au pedi? Mitoto imedekezwa balaa...bora wangehakikisha kila shule ila Lab!
 
Nakubaliana na wewe mkuu lakini ukweli una uma, acha kukariri kufanikiwa ni kusoma science pekee, wana sayansi wangapi wamefanikiwa/matajiri hapa nchini ukiwemo wewe?
Ishu sio science..ishu ni kudanganywa na vitu cheap kama pedi...hilo tu...hakuna mwanafunzinanayejielewa eti akawa mp akakosa vitendea kazi akadoji shule narudia hayupo...kuna kanga na mavitenge unatumia siku imepita...yaan mbunge anatoka huko anakuna wapa vipedi mnafurahii..nyambafu si bora agawe madawati bas😏😏
 
Mkuu huu ukatili wako utakuwa wa kanda maalamu siyo bure
Unafurahia mwanao apewe zawad ya pedi badala apewe walau kitabu? Mm hizo pedi naamini hazina umuhim..umewah ona mwanafunzi anakuambia sikufanya mtihan wa form 2 au4 kisa nilikosa ped?? Hakunaga excuses za namna hiyo..kamamzaz anaweza aford hela ya dawati sijui 50000 anashindwaje kumpa mwanaye 2000 kila mwez anunue pedi? Yaan ni vile sina binti..ila asingeniletea upuuz huo,think twice...
 
Nendeni mkajadiliane kwenye vikao vyenu vya NEC maana mlipata ushindi wa kishindo msitusumbue jukwaani hapa
 
Back
Top Bottom