Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Wajumbe siyo watu!Juma Nkamia nimemuonea huruma, pamoja na kumpambania mzee aongezewe madaraka lakini wajumbe wakampiga spana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbe siyo watu!Juma Nkamia nimemuonea huruma, pamoja na kumpambania mzee aongezewe madaraka lakini wajumbe wakampiga spana.
Sikio la kufa halisikii dawaNyingi ya Sura Ninazoziona Hapo ni wanasiasa MAARUFU Sana MAENEO YAO.....
Nionacho ni kuwa HUU utaratibu alioshauri mh.Mwenyekiti wa KUJUMUISHA na KUHESABU KURA HADHARANI ndio chanzo cha maanguko hayo...........
Pia WanaCCM wapiga KURA wamebadilika sana KIPINDI hiki cha AWAMU ya 5.
Wamekuwa Wakiendana na Kasi ya mwenyekiti wetu.
Tahadhari kwa Watakaoteuliwa na kushinda UBUNGE Ni kuwa UMEFIKA MUDA WABADILIKE na wawe Karibu na wapiga KURA wao majimboni,waache tabia ya KUPOTEA,KUTOONGEA KERO ZA MAJIMBO YAO bungeni,kuzurura kwa FAIDA ya BIASHARA zao binafsi,Umimi,KUENDEKEZA anasa,starehe na UJIVUNI.
Msukuma kapeta sijui kessy!Yani mbwa km lusinde, kessy na msukuma wamepita?
Kwanza kuwa na mbunge kama Nkamia ni aibu. Hajawahi kuongea kitu cha maana.Juma Nkamia nimemuonea huruma, pamoja na kumpambania mzee aongezewe madaraka lakini wajumbe wakampiga spana.
😀😀Waje mtaani nao wapige kelele ya bunge live...
Wajiajiri tuSafi Sana Kubalini Matokeo, Ebu Karibuni Mtaani Maisha Yaendelee...Kumbukeni Wakuu wa Mikoa na Wilaya Plus MaDAS Tayari wapo so karibu Kitaa Myazoehe Maisha ya Kutokuwa na Uhakika...
Je Lugola alitoboa?59 . Agustino masele ---- mbongwe
Nimefurahi sana[emoji106]Sasa ni muda mwafaka huu utaratibu wa kuhesabu kura hadharan ufanyike hadi oct 28
Shukuru Kawambwa- Bagamoyo59 . Agustino masele ---- mbongwe
Kweli bwana Mipata wamekula kichwa bila kumsahau mbunge wa kwela aliyemrithi mzindakaya anaitwa Malocha nae wamekula kichwaSijamuona mbunge wa Nkasi Kusini nasikia naye kaangukia pua. Hebu fuatilia mkuu.
Kessy nae kapetaMsukuma kapeta sijui kessy!
Alifungana na mwenzie kwahiyo wanasubiri maamuzi ya kamati kuuJe Lugola alitoboa?
Duu kumbeKessy nae kapeta
Baadhi watarudishwa kwenye ubunge na MagufuliWABUNGE WALIOANGUSHWA KURA ZA MAONI
1. Harrison Mwakyembe – Kyela
2. Angela Kairuki – Same Magharibi
3. Maulid Mtulia – Kinondoni
4. Abdalah Mtolea – Temeke
5. Omary Badwel – Bahi
6. Juma Nkamia – Chemba
7. Goodluck Mlinga – Ulanga
8. Omary Mgumba – Morogoro Kusini Mashariki
9. Cecil Mwambe – Ndanda
10. Katani Ahmad – Tandahimba
11. Jerome Bwanausi – Lulindi
12. Rashid Chuachua – Masasi
13. Dua Nkurua – Nanyumbu
14. Zubery Kuchauka – Liwale
15. Willy Qambalo – Karatu
16. Julius Kalanga – Monduli
17. Mary Nagu – Hanang
18. Jituson Singh – Babati Vijijini
19. Pauline Gekul – Babati mjini
20. James Ole Millya – Simanjiro
21. Jumanne Maghembe – Mwanga
22. Ramo Makani – Tunduru Kaskazini
23. Mboni Mhita – Handeni Mjini
24. Victor Mwambalaswa – Lupa
25. Janeth Mbene- Ileje
26. David Silinde – Momba
27. Richard Mbogo – Nsimbo
28. Justine Monko – Singida Kaskazini
29. Daniel Mtuka – Manyoni Mashariki
30. Allan Kiula - Mkalama
31. Gerson Lwenge – Wanging’ombe
32. Deo Ngalawa- Ludewa
33. Norman Sigalla – Makete
34. Charles Kitwanga – Misungwi
35. William Ngeleja – Sengerema
36. Ezekiel Maige – Msalala
37. Albert Obama- Manyovu
38. Daniel Nsanzugwako- Kasulu Mjini
39. Alex Gashaza – Ngara
40. Mkasa Oscar Biharamulo
41. Deodorus Kamala – Nkenge
42. Peter Kafumu- Igunga
43. Peter Lijualikali - Kilombero
44. Leonsia Bukwimba - Busanda.
45.Edwin Sanda - Kondoa Mjini.
46. Joram Hongoli - Lupembe
47. Mbaraka Dau - Mafia.
48. Ally Ugando - Kibiti