Tetesi: Wabunge wa CCM Waanza Kutishiwa!

Tetesi: Wabunge wa CCM Waanza Kutishiwa!

Personally naona kuna kila dalili za CDM kupoteza dira as 2020 is approaching, ikumbukwe kuwa uchaguzi serikali za mitaa ni kesho kutwa tu, so far sioni juhudi zozote zinazozaa matunda. Katibu Mkuu yupo kimya balaa, UKAWA ni kama imekufa, maana mgogoro wa CUF na ukimya wa NCCR unarudisha nyuma harakati. Think Tanks wa CHADEMA kuanzia Mnyika, Mdee, Lissu, Safari na wengineo hawajihushi tena kwenye kupanua chama, kuingiza wanachama wapya sio motive tena ya CDM. Chama kamwe hakitofanikiwa kwa kuwa na mashabiki wengi, bali wanachama wengi. Makene naye yupo kimya. Inshort baada ya uchaguzi 2015 ni kama hakuna mikakati tena, chama kinajiendesha in no direction, chama kipo kipo tu.
Mkuu siasa kuzunguka mikoani zimepigwa marufuku huyo Katibu mkuu na kina Mnyika utawasikia lini? Jamaa huyu kafanya makusudi kudumaza upinzani
 
Nape
Mwigulu
Makamba
Lukuvi
Bashe
Msukuma
Kitwanga

Yani nyie hata iweje 2020 hamuwezi kupenya kwenye chujio la baba nkwabi chini ya player maker bashite........anzeni kutafuta mashamba ya mananasi tu au tafuteni pakwenda unless mkubali kuishi kwa shida sana.
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000 Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta amekuja na Kura 15000 Mkamtulia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!
Ushauri mzuri sana, ila Nina wasiwasi kwamba wakitangaza , CCM watakuja na miswada ya ajabuajabu itakayopelekea kutungwa kwa sheria kandamizi ili kuzuia isiwezekane
 
Pascal 2015 Chadema walishidwa kwa kuhujumiwa na pamoja na kuhujumiwa huko bado waligain sana kwenye wabunge. Hivyo sioni kama Mwenyekiti akibadilishwa itasaidia. Hujuma aliyopanga kuwafanyia Magufuli 2020 ni mbaya zaidi. Kama wana akili wanatakiwa Nao watumie fedha, Intelligence etc Wamfanyie Hujuma mara mia zaidi. Tena sio wangoje 2019 watakuwa wamechelewa wanatakiwa waanze sasa.

Inashangaza Sana CCM ambayo Ilinyang'anya Computer za UKAWA za Parallel Tabulation sasa wao Ndio Wamemsaidia Raila Odinga na ODM kuweka Kituo cha Computer Tanzania. What an Irony. Mimi naomba sana Uhuru ashinde Ingawa simtaki Ruto lakini Kama UKAWA wana akili wangekopa hata pesa kwa Uhuru Kujiimarisha Kimkakati na Kumfanyia Magufuli hujuma mara mia zaidi ya anavyowafanyia yeye. Inahitajika kiasi cha kama Bilioni 10 hivi za Tanzania ambazo ni Kama million 90 tu za kenya na ni dollar kama Million 4 hivi. CHADEMA wakiwa na Kiasi hiki wakakiweka kwenye Intelligence na Operations CCM itahenya 2020. Na sio Kiasi Kikubwa Lowassa anaweza Kuwasaidia Chadema Kupata Mkopo au Msaada Huo kutoka kwa Uhuru!
Mkuu unazungumzia Intelligence gani watumie CDM isiyofahamika na sirikali/ccm? Naomba udadavue kidogo hapo mkuu
 
Tatizo pia ni viongozi wa Upinzani hasa Chadem, ni wabinafsi sana sana.
Mbowe ana walakini kwenye suala la utaifa anapoona maslahi binafsi.
Kwa nini wasingeweka majina ya Wenje ,Safari,Masha na mwanamke mmoja?
Hatuna upinzani wa maana kwa kweli.
Watanzania wanapenda upinzani ila viongozi wa upinzani ni bure kabisa. Hamna mipango ya mbali.

Wakina mbowe na wenzake wakasomee sayansi ya siasa kuelekea 2020 vinginevyo wataanza kugombania majimbo kama Segerea.
Mkuu ungejua mambo yalivyokuwa wala usingemlaumu Mbowe....ni ubinafsi uliingia kwa akina Safari, Mbowe alishaweka wazi atawasimamisha walewale Wa mwanzo yaani wenje na Masha....only....kuna mijitu ikaingilia mchakato,hao ndo vigogo kwamba waingizwe wengine, Mbowe akajitoa akasema Sawa maana ndo Demokrasia na alishajua nn kitatokea.
 
Huo mkakati wa kuchukua makapi ulishafeli kwa Lowassa.Watu wanachagua chama sio mtu
Endelea tu kujifariji meku
Makapi sio kina Kessy na Lusinde? Makapi siku zote ndiohubakia CCM wanaotoka ni Chuma Tupu! Ngano tupu, Lowassa Kingunge Masha Sumaye hao Ukilinganisha na aliyesema Kuku zilipe kodi au Kutekwa mchezo! Au Natamani kulia! Au Bashite aka, Bull Shit, nani Makapi?
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000 Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta amekuja na Kura 15000 Mkamtulia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!
Bashe, Kitwanga, Nape hao ni finito.

Cdm lazima ipige kura za maoni. Matokeo yaliyopita ni mavi yasiyonuka.
 
Makapi sio kina Kessy na Lusinde? Makapi siku zote ndiohubakia CCM wanaotoka ni Chuma Tupu! Ngano tupu, Lowassa Kingunge Masha Sumaye hao Ukilinganisha na aliyesema Kuku zilipe kodi au Kutekwa mchezo! Au Natamani kulia! Au Bashite aka, Bull Shit, nani Makapi?
Punguza povu basiii,Msemaji wa chadema Mahanga nae kapi
 
Personally naona kuna kila dalili za CDM kupoteza dira as 2020 is approaching, ikumbukwe kuwa uchaguzi serikali za mitaa ni kesho kutwa tu, so far sioni juhudi zozote zinazozaa matunda. Katibu Mkuu yupo kimya balaa, UKAWA ni kama imekufa, maana mgogoro wa CUF na ukimya wa NCCR unarudisha nyuma harakati. Think Tanks wa CHADEMA kuanzia Mnyika, Mdee, Lissu, Safari na wengineo hawajihushi tena kwenye kupanua chama, kuingiza wanachama wapya sio motive tena ya CDM. Chama kamwe hakitofanikiwa kwa kuwa na mashabiki wengi, bali wanachama wengi. Makene naye yupo kimya. Inshort baada ya uchaguzi 2015 ni kama hakuna mikakati tena, chama kinajiendesha in no direction, chama kipo kipo tu.
Sasa haya yote watayafanyia wapi wakati siasa haziruhusiwi?
 
Bila tume huru ya uchaguzi upinzani kamwe hautaingia madarakani kwa miaka 30 ijayo
 
Magufuli asipouweka uchumi sawa,hali yake ngumu.Namshauri akazane na uchumi siasa katika zama hizi za utandawazi atobohi.Count my words
Magufuli hakushinda 2015 na anajua Hatashinda 2020 Ila anajua atakwapua urais hata akipata Kura Mbili. Kwa wanasayansi wa siasa hapa Nawapeni Indiketa ya Kilicho kishwani Kwa Magufuli kuhusiana na Uchaguzi wa 2020 na Ule wa 2015

2015, Alipomshikia Nape Bastola walikuwa na hofu ya Nape Kumwaga Ugali walivyopiga goli la Mkono 2015
2015 Walipozuia Bunge Live na Mikutano ni Wazi wanajua kuwa Wapinzani waliwashinda 2015 na ikatumika nguvu ya ziada kama kukataza watu kulinda kura na Kupora Komputer.
2020 Wanapozuia Lowassa asiongee kwenye Mkutano wowote ni wazi wanaogopa Kipigo alichowapa 2015 hata ikabidi wakwapue Urais kwa nguvu.
2020 Kitendo cha Magufuli Kutaka Jecha apewe tuzo ni Ushahidi tosha kuwa, Aliunga Mkono Ujambazi wa Jecha na kama unataka mtu apewe tuzo ni Kwa kuwa unataka Vitendo vyake vienziwe na Kuendelezwa! Jecha Ni Jambazi na Anayemuunga Mkono Jambazi ni Jambazi.

Kuna Mtu mmoja alishasema Majambazi yanyang'anywe silaha haraka haraka, Ni Maombi yangu siku moja ale maneno ya Kinywa chake kama Neno La Mungu Lisemavyo Kwenye Mithali, Utakula maneno ya Kinywa chako!
 
Bila tume huru ya uchaguzi upinzani kamwe hautaingia madarakani kwa miaka 30 ijayo
Na tume hiyo haitaletwa kwa hiyari ya CCM, Ndio Maana Nilisema CHADEMA wamkope Pesa Uhuru Kenyatta Kufanyia Operations 10 Billion zitatosha. Na hii ni jambo imefanyika sana Mandela aliomba pesa kwa Nyerere na Haile Selassie. Tom mboya aliomba hela Marekani na Ulaya! etc. Lazima wawe na Multifaceted operations some Clandestine!
 
Hili Lijamaa si alishasema ole wake mkurugenzi atayemtangaza mpinzani kuwa mbunge huku akijua analipwa mshahara na serikali ya ccm. Eh Mungu okoa Tz mikononi mwa sheitwani ccm
 
Personally naona kuna kila dalili za CDM kupoteza dira as 2020 is approaching, ikumbukwe kuwa uchaguzi serikali za mitaa ni kesho kutwa tu, so far sioni juhudi zozote zinazozaa matunda. Katibu Mkuu yupo kimya balaa, UKAWA ni kama imekufa, maana mgogoro wa CUF na ukimya wa NCCR unarudisha nyuma harakati. Think Tanks wa CHADEMA kuanzia Mnyika, Mdee, Lissu, Safari na wengineo hawajihushi tena kwenye kupanua chama, kuingiza wanachama wapya sio motive tena ya CDM. Chama kamwe hakitofanikiwa kwa kuwa na mashabiki wengi, bali wanachama wengi. Makene naye yupo kimya. Inshort baada ya uchaguzi 2015 ni kama hakuna mikakati tena, chama kinajiendesha in no direction, chama kipo kipo tu.
Wako kimya kwa sababu hawana pa kuongelea. Si unajua siasa zimepigwa stop kwa upande wa pili! Kwa kweli wapinzani wana busara kwani hili jambo kwa nchi zingine lingeleta vurugu kubwa sana.
 
Back
Top Bottom